Mr Excel
JF-Expert Member
- Jul 31, 2021
- 526
- 1,645
Faida tano zinazopatikana kwa kusaidia wengine wenye uhitaji.
1.Utakuwa na furaha zaidi
2.Hujenga mahusiano mazuri na urafiki katika jamii.
3.Inakujenga kuwa mvumilivu katika kupitia nyakati ngumu.
4.Kitendo cha kusaidia wengine ni kizuri kwa maendeleo yako binafsi.
5.Inaweza kufanikisha biashara zako kwa urahisi wa kupata wateja wengi.
Anza sasa kusaidia watu wanaokuzunguka kihali,Mali,mawazo na ushauri hakika utafanikiwa maradufu.
1.Utakuwa na furaha zaidi
2.Hujenga mahusiano mazuri na urafiki katika jamii.
3.Inakujenga kuwa mvumilivu katika kupitia nyakati ngumu.
4.Kitendo cha kusaidia wengine ni kizuri kwa maendeleo yako binafsi.
5.Inaweza kufanikisha biashara zako kwa urahisi wa kupata wateja wengi.
Anza sasa kusaidia watu wanaokuzunguka kihali,Mali,mawazo na ushauri hakika utafanikiwa maradufu.