Tumechoka kusikia katiba iliyopo aifai hata vingunge wa CCM Polepole na Bashiru kwa nyakati tofauti walilitetea hili kama kuku aliebanwa na yai na anakaribia kutaga.
Vyama pinzani navyo mida hii huwaga kimya mpaka kesho uchaguzi utavisikia vinakurupuka kama vinatoka kwenye usingizi mzito sana,kiasi inatufanya tuamini kuwa viongozi wake ni wanachama wa CCM waliovaa ngozi za kondoo.
Nini kifanywe je Katiba ilipo inakidhi viwango anavyokwenda nanyo Mheshimiwa JPM na timu yake ya Taifa ?
Tanzania mpya ya Magufuli inahitaji katiba mpya ili tupige hatua mbele na kuondoka hapa tulipo.
Vyama pinzani navyo mida hii huwaga kimya mpaka kesho uchaguzi utavisikia vinakurupuka kama vinatoka kwenye usingizi mzito sana,kiasi inatufanya tuamini kuwa viongozi wake ni wanachama wa CCM waliovaa ngozi za kondoo.
Nini kifanywe je Katiba ilipo inakidhi viwango anavyokwenda nanyo Mheshimiwa JPM na timu yake ya Taifa ?
Tanzania mpya ya Magufuli inahitaji katiba mpya ili tupige hatua mbele na kuondoka hapa tulipo.