johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Ni ushauri tu kwa Chadema kwa sababu Mbowe ameipigania Katiba mpya tangu enzi za UKAWA ni vema tumwache amalize Hili jukumu kibusara zaidi
Mchakato wa Katiba mpya unahitaji hekima na Busara na siyo nguvu bila akili
Ni hayo tu ndugu zangu hapo Ufipa st Kinondoni shamba.
Mchakato wa Katiba mpya unahitaji hekima na Busara na siyo nguvu bila akili
Ni hayo tu ndugu zangu hapo Ufipa st Kinondoni shamba.