Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,294
"Kupwa na kujaa kwa maji ya bahari,hakumsubiri mtu"
Huu ni wakati wa mapambano, ni wakati wa mchakamchaka,sio wakati wa kuzubaa na kuacha kujipanga kwa zoezi lililo mbele yetu.
Dr Slaa analijua hilo na kwa namna alivyokijenga chama na hata kufikia hapa, hapaswi kuwa sehemu ya kudhoofisha kile alichokitaabikia.... HUU NI UPUMBAVU.
Hata Musa hakufanikiwa kukanyaga nchi ya ahadi,licha ya kwamba aliwaogoza wana-Israel kwenye safari yao ya kutoka utumwani Misri.
POLENI WATANZANIA
Huu ni wakati wa mapambano, ni wakati wa mchakamchaka,sio wakati wa kuzubaa na kuacha kujipanga kwa zoezi lililo mbele yetu.
Dr Slaa analijua hilo na kwa namna alivyokijenga chama na hata kufikia hapa, hapaswi kuwa sehemu ya kudhoofisha kile alichokitaabikia.... HUU NI UPUMBAVU.
Hata Musa hakufanikiwa kukanyaga nchi ya ahadi,licha ya kwamba aliwaogoza wana-Israel kwenye safari yao ya kutoka utumwani Misri.
POLENI WATANZANIA