Who is Slaa? Slaa level yake ni ubunge, urais ni maji marefu kwake
Dr tafadhali rudi chamani uendeleze mapambano.
Chama hakitegemei mtu?? Mbona Mbowe anamkumbatia Lowasa amekuwa km mtumwa
upinzani ndo ushakufa rasmi tanzania,mbowe ameuza chama .
Ajabu sana....eti hakuna muda wa kusubiri mtu.....huyo mtu asiwe Dr Slaa aisee....otherwise mnajidanganya..... siamini kabisa Mbowe anaweza kumpuuza Dr Slaa kwa kiwango hiki......
Hii ndio sababu iliyowafanya Mh Zitto Kabwe na Mh Chiku Abwao kuamia ACT hawa watu wanaona mbali sana ni kweli wamekomaa kisiasa Mh Abwao alitangaza kukihama chama siku tatu kabla lowasa kuamia Chadema huu ndio uzalendo tunaohitaji watanzania MBOWE ndio tatizo na wala sio chadema.. Chunguza utakubaliana na mimi coz nami ni mwana chadema pia anatuangusha sana..hawa walioamia ACT ni watu waliokisaidia sana hiki chama..! Zitto kachangia sana kaskazini na Abwao kusini...inakuwaje Leo hii hawana thamani?? Haya sasa Dk! Who is next.Kwa hizi kauli za mbowe ''hatuwezi kusubiri mtu'' na ''ambao hawajaridhia watusamehe'' zinaonesha wazi kabisa kabisa Mbowe ni mwaribifu wa harakati za mageuzi.Hivi ni Mbowe huyu huyu ndiye yule au kuna uwalakini?Hivi leo Mbowe anaweza kukubari Dr. Slaa aendeee? Twende kwenye uchaguzi bila Dr. Slaa?Bullshit! I will never Trust Mbowe hata kidogo aiseee. Wafanyabiashara ni watu wa kuogopa sanaaa
Ukiangalia hizi thread mpya, waanzililishi ni watu wapya. Majina mapya. Wanadhania watanzania wa leo ni wajinga wanaweza wabadili misimamo kirahisi. Niwaambie kitu, mnapoteza muda humu, bora muende vijiwe vya kahawa