Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,656
- 4,158
Kwa hizi kauli za mbowe ''hatuwezi kusubiri mtu'' na ''ambao hawajaridhia watusamehe'' zinaonesha wazi kabisa kabisa Mbowe ni mwaribifu wa harakati za mageuzi.
Hivi ni mbowe huyu huyu ndiye yule au kuna uwalakini?
Hivi leo Mbowe anaweza kukubari Dr Slaa aendeee? Twende kwenye uchaguzi bila Dr. Slaa?
Bullshit! I will never Trust Mbowe hata kidogo aiseee. Wafanyabiashara ni watu wa kuogopa sanaaa
Yaani ni wa kuogopwa kama EBOLA, haswa haswa hawa wamiliki wa CASINO ambao wanatumia watu kama 'CHIPS' za JACKPOT BINGO!