Kuna samaki mkuu mwanaume ndie anabeba mimba au niseme kutunza mayai ,inawezekana na hayo ma nguva yanajizaa yenyewe ...jokes tu mzee kuchangamsha jamviHayupo, sasa kama nguva wote ni wa kike wanazaanaje? Story tu hizo
kuna huyu samaki wa ajabu ambaye nasikia anapatikana baharini na mara nyingi anafananishwa na jinsia ya kike,inasemekana kuanzia kiunoni kuja juu ni mtu tena 'ke' na kuanzia kiunoni kwenda chini ni samaki,hivi ni kweli yupo samaki wa aina hiyo au ni simulizi tu?[/QUO
duuuuh unataka umgegede nini!!,,,,
natania tu me mwenyewe naskia tu nguva nguva hata sijawahi kumuona
Hayo ni majini ya kwenye maji na kweli yako mengi tu hadi mtoniSamahanini niulize kwenu wenye maziwa(lakes) kitu inaitwa chunusi ni kweli ipo? Niliwahi kuambiwa Ujiji(Kigoma) Au ni story tu pia! Kama ni kweli nilisikia anabeba watu je,wanapelekwa wapi?
Hivi kitu viko kweli kabisa sio story..Embu tembelea youtube kuna clips zina potosha so angalia kwa makiniHizo ni hadithi za kusadikika
Hayo ni majini ya kwenye maji na kweli yako mengi tu hadi mtoni
hizo nazo zinaweza kuwa legends tu kuzuia watoto wasicheze mtoni au ziwaniSamahanini niulize kwenu wenye maziwa(lakes) kitu inaitwa chunusi ni kweli ipo? Niliwahi kuambiwa Ujiji(Kigoma) Au ni story tu pia! Kama ni kweli nilisikia anabeba watu je,wanapelekwa wapi?
lakini mkuu miaka ya nyuma kuna wavuvi waliwahi sikika tena ndani ya tz hiihii kuwa walimnasa nguva na picha iliwahi onyeshwa,but am still doubtingHayupo, sasa kama nguva wote ni wa kike wanazaanaje? Story tu hizo
Kuna samaki mkuu mwanaume ndie anabeba mimba au niseme kutunza mayai ,inawezekana na hayo ma nguva yanajizaa yenyewe ...jokes tu mzee kuchangamsha jamvi
Bahati mbaya hizo picha hazifunguki mkuu ,nitakujibu zikifunguka
Pole kaka, taratibu utazionaBahati mbaya hizo picha hazifunguki mkuu ,nitakujibu zikifunguka
Nimeogelea mtoni sana tu tukitoka shule au muda mwingine tunatoroka..Sasa kuna siku nilishuudia chalii akivutwa chini ya maji akanywa vikombe vya kutosha bahati nzuri tulikuwa wengi tukamuokoa kudadisi anasema kuna kitu kilikuwa kimemshika kiuno na kingine miguu vina mvuta chini..After kama mizi saba hivi kuna kundi lilituwahi kwenda mtoni so tukawa tuko nyuma yao(watoro) wakawa wanaogelea sisi tukiendelea kuvua nguo..mara moja wao akawa anaita jina la mwingine"mbona fulani hayuko" huku Akiita jina..Kumtafuta hapo chalii kumbe yuko chini ya maji mda sana na kashakufa..Bro Smokey,majini kweli yapo au ni historia tu! Maana hivi vitu nasikiaga tu kwenu huko lakini uharisia sijawahi kupata. Nilistuka sana naambiwa kwamba watu walipotea na walichukuliwa na chunusi,kuuliza walimuona wanasema yupo. Kama una uelewa na hayo mambo tafadhali nikupe contacts unijuze zaidi
halo inatisha,tunaweza ogopa kwenda kuogelea.Nimeogelea mtoni sana tu tukitoka shule au muda mwingine tunatoroka..Sasa kuna siku nilishuudia chalii akivutwa chini ya maji akanywa vikombe vya kutosha bahati nzuri tulikuwa wengi tukamuokoa kudadisi anasema kuna kitu kilikuwa kimemshika kiuno na kingine miguu vina mvuta chini..After kama mizi saba hivi kuna kundi lilituwahi kwenda mtoni so tukawa tuko nyuma yao(watoro) wakawa wanaogelea sisi tukiendelea kuvua nguo..mara moja wao akawa anaita jina la mwingine"mbona fulani hayuko" huku Akiita jina..Kumtafuta hapo chalii kumbe yuko chini ya maji mda sana na kashakufa..
Huku mtaani juzi kati dogo kafa akiogolea ndio alikuwa mkubwa kwa wote..Mpaka wengine walienda kuomba msaada wa kumuokoa..Dogo akatolewa kakauka kama kapigwa shoti ya umeme..
-Machunuzi yako mengi tu mtoni ziwani etc