Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

mermaid-found-in-bulgaria.jpg
Researches and curiosity about mythological creatures known as mermaid or merman continues ....
 
Naona watu wanachanganya mambo hapa.Nadhani ilo jina NGUVA ndo tatizo ila ukweli ni kwamba Nguva ni mnyama wa baharini na yupo kweli ila tusimchanganye na viumbe vingine vyakusadikika vinavyoitwa MERMAN na MERMAID.Sasa nadhani kutokana na lugha ya kiswail kukosa baadhi ya misamiati ndo maana hao merman na mermaid wakatumia jina ilo la nguva kuwaelezea wote kwa maana ya nguva halisi na hao wengine wakufikirika.Nguva(dudong) halis anaishi baharini na anazaa nakunyonyesha ila hana hadith zozote zakumhusisha na binadam ila wanaozungumziwa kwenye hizo hadith ni hao mermaid ambao niwanyama wakufikirika.
 
Mimi binafsi siwezi kukataa...
maana kuna viumbe vya kiroho na kisayansi...
hata historia zake mermaid huwaga ni za kiroho zaidi sio science....

Baharini kuna mambo jamani,tusifanye mchezo
 
Ni kwa mda sasa naskia habar tofauti tofauti zisizothibitishwa, zikielezea uwepo wa hawa viumbe kwenye water bodies hususani baharini.
Story mbalimbali zitolewazo zinavutia na kunishawishi kutaka kujua zaidi na hata kutafuta vithibitisho juu ya suala hili.
Nikianzia ktk nafasi hii, kama kuna yoyote mwenye uelewa wowote kuhusiana na uwepo wa hawa samaki watu, basi mi naomba anijuze
Na itakua vizuri kama ataambatanisha na namna yoyote ile ya vithibisho kusapoti zaidi hoja zake, kwani mi mpaka hivi bado sina jibu kamili kama viumbe hawa kweli wapo duniani au la
Na yepi hasa maisha yao halisi kama ni kweli wapo?
images.jpg
 

Attachments

  • imges.jpg
    imges.jpg
    16 KB · Views: 177
Huo Ni uongo Kama uongo mwingine, hakuna kitu Kama hicho ila nakumbuka Kuna mzee alisema yupo samaki anaitwa nguva maeneo yake ya uzazi yapo Kama mwanamke na anavinyweleo Kati ya gamba moja na jingine
 
Huo Ni uongo Kama uongo mwingine, hakuna kitu Kama hicho ila nakumbuka Kuna mzee alisema yupo samaki anaitwa nguva maeneo yake ya uzazi yapo Kama mwanamke na anavinyweleo Kati ya gamba moja na jingine
Yaa walimtaja nguva sana na nilimfatilia
Nikapata taarifa zake
Na wala sio yy mwenye huo muonekano wa kibinaadam, ingawa ana cfa flanflan za kipekee kama usemavyo mkuu
 
Ni kwa mda sasa naskia habar tofauti tofauti zisizothibitishwa, zikielezea uwepo wa hawa viumbe kwenye water bodies hususani baharini.
Story mbalimbali zitolewazo zinavutia na kunishawishi kutaka kujua zaidi na hata kutafuta vithibitisho juu ya suala hili.
Nikianzia ktk nafasi hii, kama kuna yoyote mwenye uelewa wowote kuhusiana na uwepo wa hawa samaki watu, basi mi naomba anijuze
Na itakua vizuri kama ataambatanisha na namna yoyote ile ya vithibisho kusapoti zaidi hoja zake, kwani mi mpaka hivi bado sina jibu kamili kama viumbe hawa kweli wapo duniani au la
Na yepi hasa maisha yao halisi kama ni kweli wapo?
View attachment 660366
Mkuu hawa viumbe wapo toka enzi za Nuhu hasa majini yalipoingiliana na watu + wanyama..... Sio samaki mtu tu ila walikuwepo nusu mtu nusu nyoka (medusa) pia nusu mtu nusu farasi wanaitwa centaur

Ila hawa sio wanyama kimwili lakini wapo kiroho zaidi hata mgunduzi wa marekani Christopher columbus alikiri kuwaona wakati anaelekea marekani kwa mara ya kwanza

Anyway ukitaka ujue zaidi soma kitabu cha Enock au book of giants utagundua asili yao na utagundua kwanni wanyama wengi walikuwa nusu mtu nusu mnyama kma hao centaur
 
Huo Ni uongo Kama uongo mwingine, hakuna kitu Kama hicho ila nakumbuka Kuna mzee alisema yupo samaki anaitwa nguva maeneo yake ya uzazi yapo Kama mwanamke na anavinyweleo Kati ya gamba moja na jingine
Walikuwepo enzi za Nuhu mkuu kasome book of enoch 1 na 2 utawakuta humo

Pia kuna mapango kwenye zaidi ya mabara ya 5 zinazoonyesha michoro ya hawa nguva
 
Mkuu hawa viumbe wapo toka enzi za Nuhu hasa majini yalipoingiliana na watu + wanyama..... Sio samaki mtu tu ila walikuwepo nusu mtu nusu nyoka (medusa) pia nusu mtu nusu farasi wanaitwa centaur

Ila hawa sio wanyama kimwili lakini wapo kiroho zaidi hata mgunduzi wa marekani Christopher columbus alikiri kuwaona wakati anaelekea marekani kwa mara ya kwanza

Anyway ukitaka ujue zaidi soma kitabu cha Enock au book of giants utagundua asili yao na utagundua kwanni wanyama wengi walikuwa nusu mtu nusu mnyama kma hao centaur
Sawaa
Noted mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom