Ni unafiki wa CHADEMA, Mbowe au Dr. Kitila Mkumbo?!

Hao ndio chadema, hata gari Mbowe alisema kalisusa, kumbe kalisalimisha mlango wa mbele akaingia mlango wa nyuma akalichukuwa. Changa la macho.
 
co vipindi vyote vya tbc vinapotosha. kile kipindi ni kizuri hata aje nani aseme me siachi kukiangali. kwanza watu walishaacha kuangalia tbc hata kabla ya mwenyekiti kusema. so me naangalia kipindi ninachojua nitapata elimu. co mkumbo hakukosea kwenda kwenye kipindi kile kutoa elimu
 
Hao ndio chadema, hata gari Mbowe alisema kalisusa, kumbe kalisalimisha mlango wa mbele akaingia mlango wa nyuma akalichukuwa. Changa la macho.

mkuu hivi ni kweli kamanda Mbowe aliruka ukuta kwenye maandamno yale ya arusha? Au ni propaganda zenu magamba?
 
co vipindi vyote vya tbc vinapotosha. kile kipindi ni kizuri hata aje nani aseme me siachi kukiangali. kwanza watu walishaacha kuangalia tbc hata kabla ya mwenyekiti kusema. so me naangalia kipindi ninachojua nitapata elimu. co mkumbo hakukosea kwenda kwenye kipindi kile kutoa elimu

acha kuwasemea watu,sema nilishaacha.mimi na watu wengine mbona tunaangalia tbc kama kawaida
 
yule babu wa ndevu nyeupe anakuaga na vipindi vizuri sana sio mchezo wanzungumzia maswla ya bunge la budget sio chadema kuwa makini
 
Hili nalo neno,vipi mgomo/msuso umeishia wapi?kitila ni mmoja wa watu ndani ya chadema wanaoheshika sana hata na walio nje ya chama,anafaa kugombea urais huyu msomi

Rais kutoka chadema 2015 lazima atoke kaskazini hata mzee mtei alishasema hilo.
 
Hili nalo neno,vipi mgomo/msuso umeishia wapi?kitila ni mmoja wa watu ndani ya chadema wanaoheshika sana hata na walio nje ya chama,anafaa kugombea urais huyu msomi

Rais ajae lazima atoke kaskazini ndio msimamo wa chama chetu hata mwasisi wa chama alishasema hampi mtu chama asiemfahamu.
 
Inasikitishaa inapokua vigumu kutofautisha mtu na taasisi. Mgongano uliopo na ambao mkiti alitangaza ni dhidi cdm na TBC na si dhidi ya mtu na asasi zale au biashara zake. Kitila au awae yote akitokea katika capacity ingine zaodi ya ya chama hakuna kinacho mzuia na hakuna kinachoharibika. Kitila hata akienda anaenda kama mtaalamu na mchambuzi wa uchumi na sio mwakilishi wa chama
 
Rais ajae lazima atoke kaskazini ndio msimamo wa chama chetu hata mwasisi wa chama alishasema hampi mtu chama asiemfahamu.

Mufilisi....

Mtanzania yoyote wa kutoka pande zozote , dini au kabila lolote so long as anavigezo na sifa za kuchaguliwa anahaki ya kuwa raisi wa taifa hili. Ni upuuzi , uzandiki na upumbavu mkubwa kuhisi kuna watu wa kanda flani au kabila flani au dini flani hawastahili kuongoza taifa hili.. Ubaguzi huu hauna tija tena na kamwe watz waleo hawatakubali kuongozwa na sera hizi mufilisi za kibaguzi. Watanzania wanataka raisi ambae atadeliver expectation zao na malengo yao ya maendeleo.
Urahisi kamwe hautagawanwa tena kwa vigezo vya ukabila, kanda, kupokezana au sura inayovutia. Mliofaidika na sera hizo imefika mwisho nahistoria ataandikwa
 
Back
Top Bottom