Wewe ulitahiriwa ukiwa na miaka 10?Miaka 10
💆🙋Wewe ulitahiriwa ukiwa na miaka 10?
Wazungu wengi wao hawatahiri.Kutahiriwa ni Agano LA Mungu na vizazi vyake ivo asiyetahiriwa hutengwa na jamii take.
Mtu apaswa kutahiriwa akiwa na Siku 8 baada tu ya kuzaliwa.
Mwanzo 17; 9-14
Vipi ulisha wahi kudunguliwa na muzungu?Wazungu wengi wao hawatahiri.
Kijana ebu chunga ulimi wako, usije jikuta unajadili kiungo cha matusi na mamayako.Vipi ulisha wahi kudunguliwa na muzungu?
🙌🙌🙌🙌Kijana ebu chunga ulimi wako, usije jikuta unajadili kiungo cha matusi na mamayako.
Hapana...Wewe ulitahiriwa ukiwa na miaka 10?
Umekumbusha mbali sana enzi hizoMiaka 15+ unamfanyia sherehe (kirombe) anatahiriwa bila ganzi mbele ya umati wa watu alafu hakuna kutikisha kiungo chochote kila mwilini mwako, hadi kope za macho usiminyeminye.
Hapo utahesabiwa kuwa unekuwa kijana rijali