Ni Ujinga..

Mateka

Senior Member
Joined
May 2, 2011
Posts
131
Reaction score
41
Ni ujinga kufanya haya
1.kuzaa mtoto na kumpa jina la Tov ili uitwe Babatov
2.kupiga picha na mimi ili upate umaarufu.
3.Kununua misumari nje ya nchi.
 
Ni ujinga kung'oa watu meno na kucha bila ganzi
 
ni ujinga kukojoa kwenye kibao kilichoandikwa "uckojoe hapa".
 
kudunguana bila kinga afu ikitokea mimba mnaulizana na kugombana
 
Ni ujinga kuvaa miwani yenye lensi ya kukuza unapokula ili chakula ukione kingi
 
Mi sina mbavu jamani.. tehee tehee

Na ni ujinga ukisalimiwa mara kadhaa na mtu wa jinsia tofauti kwa uchangamfu, ukafikiri anakutaka kimapenzi.
Ni ujinga
 
kujipulizia manukato wakati wa kupiga picha! ni ujinga.
 
Niujinga ukienda kula chakula mkhahawani kuiga walavyo wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…