Ni udadisi tu!!!!

SUala hili halina uhusiano na umri wa mtu. Kuna vidume vyenye miaka zaidi ya 35 lakini havijatulia kabisa. Likewise, kuna walio below 35 lakini wako safi na ndoa zao na mimi ni miongoni mwao. Suala la tabia ya mtu haliendani kabisa na umri. Ndo maana ni muhimu ku-develop good habits tangu ukiwa kijana maana ukiwa na tabia mbaya (mfano ya kutoka nje ya ndoa) hata ukikua utaendelea nayo tu.

I am talking this from experience. Mi kabla ya kuoa sikuwa na tabia ya kufukuzia vibinti. Nilisubiri muda mwafaka. Na hata nilipompata mchumba sikuwahi kufanya nae tendo la ndoa mpaka tulipofunga ndoa kanisani. Tulikaa kwenye uchumba kwa miaka 2 na nilifanya tendo la ndoa nikiwa honeymoon baada ya kupata baraka za kanisani. Vijana wenzangu waliokuwa wanafukuzia vibinti (na waliniona mimi kama zoba vile) nao wameoa lakini wengi wao mpaka leo bado wanafukuzia totoz nje ya ndoa.

Hukutumika vizuri !!!! na je mkeo ulimkuta bikra:eek:hwell:
 
Thamani ya ndoa ni wakati wote; ukiipa mipaka ya muda na umri wewe umeingia kwenye ndoa si kwa maana ya kuwa kwenye ndoa !

Ni maoni ya watu wenye uzoefu na maisha ya ndoa... haimaanishi tunaweka kuweka mipaka!!! neno lao si sheria!!
 
bora umenifungua njia,
kama mwanaume anataka kunioa nitakuwa naangalia umri wake,
kama yuko above 35 ruksa!,
kama yuko below 35 hell to the no,
ndio hapo nipate above 35 aje anitende! mbona nitatia akili za kuchanganywa na kuambiwa vizuri zaidi...LOL:A S shade:
 
roselyn unajidanganya

i know hun,
mie nahisi nitafanya trial and error mpaka nimpate mr right...
kuna signature ya mtu hapa JF sijui ni salha ama nani nimeipenda kweli...
ile inasema 'a lady has to kiss many frogs before meeting her prince charming'...:A S shade:
 
i know hun,
mie nahisi nitafanya trial and error mpaka nimpate mr right...
kuna signature ya mtu hapa JF sijui ni salha ama nani nimeipenda kweli...
ile inasema 'a lady has to kiss many frogs before meeting her prince charming'...:A S shade:

mmh mwenzangu unaweza ku-kiss hao vyura mpaka lips zikaharibika b4 u get the right person. hatari kweli!!!
 
Hii niliisikia toka kwa mdada flan mwenye ndoa yake... Kwamaba yey akikwaruzana na mumewe na tatizo kwa wazee kwa utatuzi... Anaambiwa awe mtulivu..wamaume wengi huanza kuiona thamani halisi ya ndoa wakiwa na miaka 35 na kuendelea..kabla ya hapo wengi wanaoa ila akili zao bado zinatamani yale walioyaachacha nje na huku bado ndoa wanaitaka vilevile.. Wakishafikia umri tajwa..wanatulia...!!
Sijafika huko bado...udadisi wangu katika kampani za jamaa zangu( walio juu na walio chini ya miaka 35 waliopo katika ndoa) naona dalili fulani ya ukweli..!!

Wakulu...Imekaaje hii??
To be honest...wanaume waliooa wakezao wakifika miaka 35 tena wakiwa wameshazaa basi wanawaona kama vile hawanathamani. Wanaume waliowengi hata kama wana miaka 35+ hupendelea kutoka nje ya ndoa zao. Hii kitu inapelekea wake zao kunung'unika na siku vikiwazidi nao hutoka kwenda kuchapika nje!

Mfano mzuri ni rafiki yangu ambaye anajimegea mke wa mtu mwenye umri wa miaka 42 na watoto wa 4. Mume wa huyo mama anaumri wa miaka 55 lakini yeye anatoka na mademu wa clubs wa umri kati ya 23-25. Huyu jamaa yangu yeye ana umri wa miaka 31.

Mimi nadhani kutulia kwa mtu katika ndoa ni tabia tu.

Habari ndiyo hiyo!:A S-heart-2:
 
Age pekee yako si kigezo tosha cha utulivu, japo ni kiungo muhimu. Kikubwa nadhani ni subra na ustahimilivu alojaliwa huyo mja wa Mola.

Nimewahishuhudia wanandoa wanatengana at 50+. So, hakuna formula katika hilo!
 
Back
Top Bottom