Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,437
- 1,025
Mzee mmoja alikuwa anacheza draft na wazee wenzie.Msosi ulipokuwa tayari,mkewe akamtuma mwanae akamwite baba yake kwa ajili ya msosi.Dogo alipofika kwa baba yake akaamua kumwita kimafumbo ili wale wazee wengine wasijue.Dogo akasema;Baba una bichwa kama ugali.Baba naye akajibu;kaone kule miguu kama tangulia nakuja!