Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
Nilikuwa napitia Tangazo la Kazi na deadline ni 14th February, Wanataka 1st & upper 2nd Class.
Sasa nauliza maana yao ni nini?
Sasa nauliza maana yao ni nini?
Nilikuwa napitia Tangazo la Kazi na deadline ni 14th February... Wanataka 1st & upper 2nd Class!!!!
Sasa nauliza maana yao ni nini???
Kampuni kama hizi nazichukia sana sababu ya ubaguzi
Hata hivyo usidhani kuwa wote watakaoponda tangazo hilo ni lower second, wengine hatuko kundi hilo na wala hatuna mpango wa kuomba hizo kazi sipokuwa ni ukweli tu kuwa hilo tangazo ni la kipuuzi. Vinginevyo waonyeshe taratibu za utumishi wao ikiwa zimeeleza hivyo(kama ilivyo higher learning institutions).lower second utawajua tuuu
Hata hivyo usidhani kuwa wote watakaoponda tangazo hilo ni lower second, wengine hatuko kundi hilo na wala hatuna mpango wa kuomba hizo kazi sipokuwa ni ukweli tu kuwa hilo tangazo ni la kipuuzi. Vinginevyo waonyeshe taratibu za utumishi wao ikiwa zimeeleza hivyo(kama ilivyo higher learning institutions).
Na bado BOT na TRA, mkienda shule msome na kuelewa ili ukiingia kwenye labour market uwe vizuri kuanzia kwenye cheti hadi utendaji. Ila hizi kampuni unaweza kuta boss au muajiri hajawahi kupata hizo grade halafu anataka watu hao au labda ni kupunguza ushindani
Ni sawa, lakini ukiangalia baadhi ya kazi hasa za mechanical na electrical engineering walizotangaza, mtu hata wa FTC ya chuo cha ufundi anazifanya.Wanapunguza wingi wa application letters mkuu!