Ni TPDC kampuni au TPDC University?

Ni TPDC kampuni au TPDC University?

Halafu hao walio na 1st and upper second huwa wanakariri tu...sio watendaji wazuri!
 
Someni mliopo vyuoni na ukweli wa wazi kuwa upper second inakuweka pazuri sana linapokuja suala la cheti!!!!! Hata litapokuja suala la post grad ikitokea stiff competition watatumia GPA kupata wanafunzi sasa hili unaonaje kuwa sio jambo la msingi????!!!!

Uwezo ni mpaka upewe nafasi sasa kigezo cha kupewa nafasi ni kipi????!!! Kama hapo ndio hiyo upper second!!!!!!

Huwezi kuwa na ranking halafu linapokuja suala la kuzitumia ndio kuwe na shida????!!!!!
Mbona hamkulalamikia hii ranking system mpaka leo imekuwa applied ndio iwe tabu?????!!!

Wewe una akili sana! na huo ndio ukweli wenyewe kama kampuni au Shirika halikujui na wanaomba kazi ni wengi hakuna kigezo kingine na si hapa kwetu tu Duniani kote, hata ukiomba kazi Microsoft kama hawakujui wataangalia ufaulu wako kwanza ndio waanze kuangalia mengine!
 
Survival of the fittest. Unataka wafanyaje sasa? Unataka waseme tunataka watu waliokuwa watoto wa mawaziri na wabunge ndo utafurahi? Dunia nzima ufaulu wa darasani ni moja ya kigezo cha kumpatia mtu ajira, km hutaki iyo sorting basi kigezo cha elimu kiondolewe. Lzma tuwork hard tuwapo shulen.
 
Nilikuwa napitia Tangazo la Kazi na deadline ni 14th February... Wanataka 1st & upper 2nd Class!!!!

Sasa nauliza maana yao ni nini???

TPDC ipi, ile ya Mafuta na Gesi? Safari hii wamekuja kivingine? Yaani GPA! Kiutendaji hasa Comptence ya mtu, inakuwa ngumu kuamini kama GPA inachangia performance, hasa kwa kazi ambazo unatakiwa ufanye kitu kionekane, siyo kwa paper work tu, bali hata ikibidi kwa mikono yako! Kwa mfano Mechanical Engineering kwenye field unatakiwa uwe fit kwa kufanya tena kwa mikono yako mwenyewe! Concept hapo nadhani ni kupunguza idadi ya contestants/ candidates, vinginevyo GPA hazireflect per see, utendaji makazini huku, ila kwa shule sawa.
 
Ndugu kuna factors nyingi sana za kitaaluma zinazomfanya mtu apate hiyo lower second, hakuna anayetaka kupata hivyo. Ukweli unabaki pale pale kuwa kuna kitu kinaitwa SECURING OF COMPLIANCE hapa ndipo kimetumika ili ku-filter applicants lakini niwatie moyo tu kuwa ombeni ikiwa Mungu imempendeza upate utapata tu, tumeshuhudia wengi pamoja na vigezo vya kibaguzi lakini walipata. Kwa Mungu yoooooooote yanawezekana
 
Nilikuwa napitia Tangazo la Kazi na deadline ni 14th February... Wanataka 1st & upper 2nd Class!!!!

Sasa nauliza maana yao ni nini???

Naomba mniwekee tangazo lao jaman,nina lower afu nina mpiga debe nikichukuliwa ntawambia k2,nipe anuanh
 
Jamani tuwe serious kdg, a fresh from school unaenda chuo kutafuta pass au lower second? For ur information ni sehem kubwa sana wanaita watu interview kuanzia mwenye upper 2nd, tutabaki kusema sehem flan wanaajiri watt wa wakubwa tu kumbe sio kweli, tupige shule tuje na GPA nzuri mitaan ajira zipo!

Hivi kila anayepata lower second anapenda kupata lower second? na pia unasema "tupige shule tuje na GPA nzuri mitaan ajira zipo. acha kuwa na mawazo ya kizamani kama mtu kakosa upper au 1st sio mwisho wa maisha na unaaza kukatisha tamaa. mtu kama kashakosa hiyo na yeye anatakiwa apewe nafasi
 
kaka wewe apply. hivyo ni vigezo tu lakini unaweza kuitwa.
Kukosa 1st na upper sio mwisho wa maisha.
HApa mjini confidence ndio Muhimu
 
sio kila anayesoma anafaulu.
Kuna watu wameenda UDSM na division kali sana lakini wakaktoka na PAss.
BUt kuna wengine walikuwa na div 3 wakaenda baadhi ya vyuo na wamepata 1st.
Elimu kuna muda inakataa
 
He he he(nicheke kinafki), kama uligonga chini ya hapo majangery.

Seriously, wamezidi, hata ukienda kwa intavyuu wanakuskrini kama nini na wanapenda mastaz hata mfagizi, kwa kweli they need to relax a little bit, wako too serious na shule.
 
soko la ajira Tanzania siku izi naona limevamiwa na siasa, yaani mtu akishakua na zazi anatafuta mbinu za kukosesha wengine.
 
Kuna 1st na upper Second za chupi na rushwa lazima watambue hilo la lower second kubaniwa kama kumega demu wa Lecturer.

Mkuu intavyuu itamcheua tu tena kuna kitu ujue uki present vyeti vyenye GPA kubwa mbona hata maswali yake yanakuwa ya GPA hiyo hiyo yaani ni nondo kwenda mbele hivyo kama ni ya kubebwa amini hapenyi na atatoka na aibu mbaya kabisa!!!!!!
 
Wewe una akili sana! na huo ndio ukweli wenyewe kama kampuni au Shirika halikujui na wanaomba kazi ni wengi hakuna kigezo kingine na si hapa kwetu tu Duniani kote, hata ukiomba kazi Microsoft kama hawakujui wataangalia ufaulu wako kwanza ndio waanze kuangalia mengine!

Na kama wako objective hao wahojaji mbona wenye GPA kubwa lakini watupu wote watanasa,sababu maswali yao lazima yatakuwa yana expect majibu ya GPA hiyo!!!!!!
 
Wabongo tunapenda lawama sana... wakiita watu 1000 mnalalamika wakifanya screening mnalalamika... muhimu kama bado unapiga shule kaza buti utoke na GPA nzuri kwa sababu ndiyo itakuwa criteria ya kwanza katika screening the comptency inafuata.... Kama tayari ulishaaribu jaribu kutafuta zile zisizo hitaji GPA nzuri ila pia uwasisitizie wadogo zako wakomae na matokeo mazuri katika cheti then mengine yatafuata
 
Jamani tuwe serious kdg, a fresh from school unaenda chuo kutafuta pass au lower second? For ur information ni sehem kubwa sana wanaita watu interview kuanzia mwenye upper 2nd, tutabaki kusema sehem flan wanaajiri watt wa wakubwa tu kumbe sio kweli, tupige shule tuje na GPA nzuri mitaan ajira zipo![ /QUOTE]
Inategemea pia hiyo First na upper umeipataje,wengi huporomoka ktk interview,hivyo huwazibia wengine wanaojiamini,tunajua wengi hutumia kila aina ya mbinu kupata GPA KUBWA,Assignment hazieleweki TEST,UE, Changamoto ktk ajira now ni acadenic results working experinces....
 
GPA doesn't matter,Angalia zile aptitude test mnazofanyaga,how many with first and upper second wanapata kazi tofauti Na wenye below those grade,waite wote wapeAptitude test then utajua Nani kilaza Na Nani jembe,Naongea hivi coz mazingira ya familia pia huchangia ufaulu Wa mwanafunzi,Mfano pale Mzumbe,Kama hujanipa Ada Huwezi fanya mtiani Na wenzako,later Unakuja fanya Na watu Wa sup,unajikuta munkari Na moto umeshakwisha,so even matokeo ya huyu Mtu hayawezi kuwa sawa Na wengine
 
Mkuu intavyuu itamcheua tu tena kuna kitu ujue uki present vyeti vyenye GPA kubwa mbona hata maswali yake yanakuwa ya GPA hiyo hiyo yaani ni nondo kwenda mbele hivyo kama ni ya kubebwa amini hapenyi na atatoka na aibu mbaya kabisa!!!!!!

Ndo maana nashangaa mtaani watu wenye 1st na upper second class wapo kibao wanasaga rami.
 
Ndo maana nashangaa mtaani watu wenye 1st na upper second class wapo kibao wanasaga rami.

Sana tu na watajaa sana miaka hii sababu vyuo vinashindana kufaulisha! !!!!!!!
Lakini wakiingia kwa mikono ya "watu" wakati wa interview huwa wanatoka jasho na makwapa kuloa kabisaaaaa maana uwezo wa ku articulate information ili kuendana na hiyo GPA mpka unashangaa huyu mtu hiki cheti chake???!!!!

Kwa hiyo kama mtu game iligoma kwa karatasi ila yuko poa sana kichwani huyu atanyanyua tu kazi sababu ana uwezo!!!! Had friends ambao hawakuwa na hizo grades ilisumbua kuitwa ila kila aliyepata nafasi ya kuitwa ilikuwa ndio nitoleee sababu walikuwa na uwezo haswa ila ndio hivyo unakuta GPA imegomea 3.4! !!!!!!!
 
Back
Top Bottom