judith bendera
New Member
- Feb 21, 2019
- 1
- 1
Miaka ya nyuma elimu ilikuwa n nzuri na tatizo kama vile utoro mashuleni haukuwa mkubwa kama ilivyo ivi sasa ilihali ya kuwa serikali yetu imejitahidi sana katka kupiga hatua katika swala zima la miundo mbinu ya barabara na pamoja na kuanzia njia tofauti za usafirishaji wa abiria bado zile sheria ambazo zmewekwa kwaajil ya kumlinda kila abiria hazifuatwi je hatuoni kuwa kama tukiimalisha sheria zetu kwaajili ya kumlinda abiria tutatatua tatizo kubwa la utoro mashulen???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app