GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Sidhani kama ni hali ya kawaida. Haijazoeleka.
Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake.
Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi.
Au anautafuta umaarufu?
Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake.
Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi.
Au anautafuta umaarufu?