BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,487
- 14,062
Ukifuatilia siasa na habari za nchi. yingi za Africa huku kwetu ni nadara kukuta hata mkuu wa nchi anapiga raia wake mkwara na vitisho chungu nzima, hata Kagame hafanyihi huo ujinga.
Sasa Tanzania hii sio tena Raisi, raia wanapigwa mkwara hadi na Diwani, nimeshangaa yule Mzungu mwitu anawapiga mkwara watu na kama kawa hatuna cha kufanya.
Kuna siku hata Mke wamwemyekiti wa kijiji fulani ataitisha press na atatupiga mkwara mzito sana na hatutakuwa na cha kufanya pia.
Ipo siku ya siku watu tutashikishwa ukuta na hatutakuwa na cha kufanya, ipo day tuombe uzima tu.
Nchi kama Kenya achana na Diwani hata Ruto hawezi wapiga wakenya mkwara now day, Bongo Daily ni mikwara kutoka kwa Police mara mchungaji, mara shehe, mara sijui Raisi wa vyuo vikuu. Yaani raia tunapigwa mkwara pande zote.
Narudia kusema uzezeta huu ipo siku utatucost sio utawacost wao hapana utatucost ingawa usha anza kutocost na utatucost vizazi na vizazi vijavyo.
Sasa Tanzania hii sio tena Raisi, raia wanapigwa mkwara hadi na Diwani, nimeshangaa yule Mzungu mwitu anawapiga mkwara watu na kama kawa hatuna cha kufanya.
Kuna siku hata Mke wamwemyekiti wa kijiji fulani ataitisha press na atatupiga mkwara mzito sana na hatutakuwa na cha kufanya pia.
Ipo siku ya siku watu tutashikishwa ukuta na hatutakuwa na cha kufanya, ipo day tuombe uzima tu.
Nchi kama Kenya achana na Diwani hata Ruto hawezi wapiga wakenya mkwara now day, Bongo Daily ni mikwara kutoka kwa Police mara mchungaji, mara shehe, mara sijui Raisi wa vyuo vikuu. Yaani raia tunapigwa mkwara pande zote.
Narudia kusema uzezeta huu ipo siku utatucost sio utawacost wao hapana utatucost ingawa usha anza kutocost na utatucost vizazi na vizazi vijavyo.