IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
1.hawapendi kukosolewa km anayo mamlaka lazima atakushughulikia...
2.Wanapenda kuhukumu wao tu kibao kikigeuka ...utasikia naonewa kwa sababu za kisiasa
3.hawapendi kuachia nafasi kirahisi labda kuwe na ukomo,unakuta tangu chama kianze mwenyekiti/katibu mkuu yeye tu..na ukijaribu kumtoa atakufukuza
4.wabinafsi na wapenda rushes
5.wanapenda kutumia wananchi ili kuficha uchafu wao...wako tayari kuua ili wapate public sympathy
6.waongo sana
NB: vijana ndio nguzo yao kuu na vijana wengi hawajitambui...wanaingia kichwakichwa na lolote likitokea wao ndio waathirika wakuu,
2.Wanapenda kuhukumu wao tu kibao kikigeuka ...utasikia naonewa kwa sababu za kisiasa
3.hawapendi kuachia nafasi kirahisi labda kuwe na ukomo,unakuta tangu chama kianze mwenyekiti/katibu mkuu yeye tu..na ukijaribu kumtoa atakufukuza
4.wabinafsi na wapenda rushes
5.wanapenda kutumia wananchi ili kuficha uchafu wao...wako tayari kuua ili wapate public sympathy
6.waongo sana
NB: vijana ndio nguzo yao kuu na vijana wengi hawajitambui...wanaingia kichwakichwa na lolote likitokea wao ndio waathirika wakuu,