Wote watatoka haoWazee wa watu akina Peter Noni na wenzao watolewe lupango sasa.
huwa mnatupaga raha - mkipenda chongo mnalita kengeza - t1.5 & t2.4!RA atapewa fursa pekee na si vinginevyo. Amini JPM hana urafiki na mwizi!
Zile enzi ni tamu jamani, watu wameshachoka
Cha kuipiga serikali???
Mwizi akose urafiki na mwizi?
Ile Mahakama ya "fisadi" itafanya kazi karibuni hivi.JIWE kawarudisha wapiga deal chamani. Hatari sana
Sent from my Iphone using Tapatalk
afu akilipa kodi yeye RA atapata faida gani?Ni kwamba rasmi sasa magufuli nae anaingia kwenye madili ya mjini.Kuhusu dili sahau!RA atapewa fursa pekee na kwa sharti kuu la kulipa kodi.
Kuhusu dili sahau!RA atapewa fursa pekee na kwa sharti kuu la kulipa kodi.