Jabari la mipango na fitina hatmaye leo limeonekana tena ndani ya mwewe KIJANI!
Katika Siasa za Tanzania huwezi kumkwepa RA na ukabaki salama!RA ni zee la MIPANGO na FITINA.Zaidi ni JABARI la MITANDAO YOTE YA KHERI na VINGINEVYO unavyoweza kutabanaisha wewe.UNAMKWEPAJE MTU WA AINA HIYO?!
Rasmi,Mhe Rais kalirejesha JABARI HILO NYUMBANI.Hakuwa na NAMNA!Hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe na Chama chake.
Niseme tu sasa rasmi RA anaenda kuwa mfanyabiashara mkubwa sana sana tena zaidi ya sana hapa Tz.Atapewa fursa kama zote kwa SHARTI MOJA TU-ALIPE KODI!
HONGERA JPM KWA HESABU KALI!
Sinza iko wapi RA kuwa mfantabiashara mkubwa? Dhambi yake itakuwa kama ataijenga himaya yake kwa dhuluma na wizi na uonevu. Asipolipa kodi that is a problem. Akiibia watanzania that is a problem. Making legal money...why not???Jabari la mipango na fitina hatmaye leo limeonekana tena ndani ya mwewe KIJANI!
Katika Siasa za Tanzania huwezi kumkwepa RA na ukabaki salama!RA ni zee la MIPANGO na FITINA.Zaidi ni JABARI la MITANDAO YOTE YA KHERI na VINGINEVYO unavyoweza kutabanaisha wewe.UNAMKWEPAJE MTU WA AINA HIYO?!
Rasmi,Mhe Rais kalirejesha JABARI HILO NYUMBANI.Hakuwa na NAMNA!Hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe na Chama chake.
Niseme tu sasa rasmi RA anaenda kuwa mfanyabiashara mkubwa sana sana tena zaidi ya sana hapa Tz.Atapewa fursa kama zote kwa SHARTI MOJA TU-ALIPE KODI!
HONGERA JPM KWA HESABU KALI!
Team Membe ilimnyima usingizi imebid asajili maveteran sasaJabari la mipango na fitina hatmaye leo limeonekana tena ndani ya mwewe KIJANI!
Katika Siasa za Tanzania huwezi kumkwepa RA na ukabaki salama!RA ni zee la MIPANGO na FITINA.Zaidi ni JABARI la MITANDAO YOTE YA KHERI na VINGINEVYO unavyoweza kutabanaisha wewe.UNAMKWEPAJE MTU WA AINA HIYO?!
Rasmi,Mhe Rais kalirejesha JABARI HILO NYUMBANI.Hakuwa na NAMNA!Hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe na Chama chake.
Niseme tu sasa rasmi RA anaenda kuwa mfanyabiashara mkubwa sana sana tena zaidi ya sana hapa Tz.Atapewa fursa kama zote kwa SHARTI MOJA TU-ALIPE KODI!
HONGERA JPM KWA HESABU KALI!
Sijui kamlipa lowassa kiasi gani,Jabari la mipango na fitina hatmaye leo limeonekana tena ndani ya mwewe KIJANI!
Katika Siasa za Tanzania huwezi kumkwepa RA na ukabaki salama!RA ni zee la MIPANGO na FITINA.Zaidi ni JABARI la MITANDAO YOTE YA KHERI na VINGINEVYO unavyoweza kutabanaisha wewe.UNAMKWEPAJE MTU WA AINA HIYO?!
Rasmi,Mhe Rais kalirejesha JABARI HILO NYUMBANI.Hakuwa na NAMNA!Hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe na Chama chake.
Niseme tu sasa rasmi RA anaenda kuwa mfanyabiashara mkubwa sana sana tena zaidi ya sana hapa Tz.Atapewa fursa kama zote kwa SHARTI MOJA TU-ALIPE KODI!
HONGERA JPM KWA HESABU KALI!
Ivi RA alikuwepo hapo wakati EL anarudi lumumba???RA ndiye aliyeasisi uhamisho wa EL. Kumbuka jamaa mjaja sana kwenye siasa za Africa na chumi zake.
Kaa mbali sana na Kagoda.....
Umepotea ndugu. CIA sio ya KenyaMnampamba RA kupitiliza.
Kenya ni ya ukoo wa kenyatta, RA hana nguvu yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena inawezekana wakawa wanashirikiana kupiga dili wote. Tumepatikana.Mfanya biashara mkubwa Tena aliye karibu na Rais halafu mwana CCM. Kisha alipe kodi?.hizo ni ndotooo
Sent using Jamii Forums mobile app