so law
Senior Member
- Dec 24, 2018
- 101
- 269
Habari wakuu...
Nina mtoto wangu wa kiume amemaliza form four mwaka 2015 ,bahati mbaya matokeo yake hayakuwa mazuri ..
Kwa mwaka mzima tumekaa nae ndani akiwa hajui aamue afanye nn
Lakin kama mzazi nimempeleka course tofauti tofauti nikisubr aamue nn utakuw mustakabali wa maisha yake..
Jana Kaja Na idea mpya kwamba anatak kwend jeshi nikimuangalia ni kweli anapend jeshi
lakin nilikuwa nataka asipite kwa njia za mkato
Kwahyo naombeni kujua
hvi ni sifa gani unazotakiwa Uwe nazo ili ujiunge na chuo cha mafunzo ya kijeshi MONDULI..?
Huwez kuwa muhitimu wa kidato cha 4 na uka apply?
Ada ni shngap?
Plz wadau nataka nimalize hili jukumu la Kijana wangu.
Nina mtoto wangu wa kiume amemaliza form four mwaka 2015 ,bahati mbaya matokeo yake hayakuwa mazuri ..
Kwa mwaka mzima tumekaa nae ndani akiwa hajui aamue afanye nn
Lakin kama mzazi nimempeleka course tofauti tofauti nikisubr aamue nn utakuw mustakabali wa maisha yake..
Jana Kaja Na idea mpya kwamba anatak kwend jeshi nikimuangalia ni kweli anapend jeshi
lakin nilikuwa nataka asipite kwa njia za mkato
Kwahyo naombeni kujua
hvi ni sifa gani unazotakiwa Uwe nazo ili ujiunge na chuo cha mafunzo ya kijeshi MONDULI..?
Huwez kuwa muhitimu wa kidato cha 4 na uka apply?
Ada ni shngap?
Plz wadau nataka nimalize hili jukumu la Kijana wangu.