Naomba kusaidiwa ni sifa zipi za kujiunga chuo cha NIT kwa kozi ya V.I.P

kipapi

JF-Expert Member
Sep 13, 2016
1,059
1,390
Habari wanajamvi,
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2010 nimechukua kozi ya udereva BASIC DRIVING COURSE katika chuo cha Vocational Education Tanzania Authority yaani VETA mwaka huu na nimepata cheti changu mwezi wa 01/01/2017.
Kiu yangu na haja yangu ni kujiendeleza zaidi ili nije kuwa dereva wa magari ya serikali au kuwaendesha viongozi na watu mashuhuri.
Nataka nikasome kozi ya Defensive and VIP pale NIT,
Je kuna yeyote mwenye kujua wasifu wa mtu anayeweza kujiunga na chuo hiki kwa kozi tajwa hapo juu? Kama yupo naomba msaada wenu please.
Nawasilisha
 
Habari wanajamvi,
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2010 nimechukua kozi ya udereva BASIC DRIVING COURSE katika chuo cha Vocational Education Tanzania Authority yaani VETA mwaka huu na nimepata cheti changu mwezi wa 01/01/2017.
Kiu yangu na haja yangu ni kujiendeleza zaidi ili nije kuwa dereva wa magari ya serikali au kuwaendesha viongozi na watu mashuhuri.
Nataka nikasome kozi ya Defensive and VIP pale NIT,
Je kuna yeyote mwenye kujua wasifu wa mtu anayeweza kujiunga na chuo hiki kwa kozi tajwa hapo juu? Kama yupo naomba msaada wenu please.
Nawasilisha
Ili uweze kujiunga na kozi uliyotaja inatakiwa uwe na leseni hai ambayo kama sijakosea iwe dalaja C, C1 hadi E na uwe unaudhoefu wa kuendesha magari usiopungua miaka 3.
 
Ada ni 200,000/= kwa muda wa siku 10 za kazi yaani wiki mbili vigezo uwe na class E.
Nb;watakutest kwanza ukifaulu ndio unaenda kulipia ada benki hivyo uwe vizuri kwenye kuendesha malori makuu kuu,mabasi mabovu mabovu na makarandinga ya dizaini iyo
 
Naomba kusaidiwa sifa na vigezo vya kujiunga na course ya VIP pale nit kwa anae fahamu anisaidie




Mbona Members Wamekujibu Hapo Juu
Uwe Na Leseni Hai Yenye Madaraja C C1 D E
Ambayo Umeitumia Zaidi Ya Miaka Mitatu Utafanyiwa Majaribio Ili Watue Unajua Kuendesha Gari.

Ukifauru Ndiyo Utajiunga Na Kozi Unayoitaka
Japo Veta Na NIT Ni Vyuo Vyenye Kutoa Elimu Sawa Sawa Kulingana Na Ngazi Uitakayo Iwapo Tu Una Sifa
 
Habari zahumu ndani
Naomba msaada wa mawazo
Nina lesen daraja D E C1 C2 C3 NA E nataka nikasome maaana sikusomaga nifanyaje naanza wap hapa sielewi kila sehem napokwenda wanataka Chet
Ninavigezo vyote Chet cha form4 kizur cha form 6 chet cha jkt nimekosa chet cha udereva sasa naazaje nianze kusomea wap
 
Habari zahumu ndani
Naomba msaada wa mawazo
Nina lesen daraja D E C1 C2 C3 NA E nataka nikasome maaana sikusomaga nifanyaje naanza wap hapa sielewi kila sehem napokwenda wanataka Chet
Ninavigezo vyote Chet cha form4 kizur cha form 6 chet cha jkt nimekosa chet cha udereva sasa naazaje nianze kusomea wap
Hapo nenda nit na lessni yako watakupa time table ulipie test kwanza ndo ulipie koz
 
HABARI zenu wa kuu mi naomba kujua ikiwa cna chet cha 4m4 ila nachet cha Engineer magar na Lesen ya clss A B D na E JEkwa vigezo hv naweza kuwa na sifa ya kujiunga na NIT? au nimepungukiwa nn hapo
 
jamani naombeni mnisaidie jinsi ya ku apply chuo cha NIT nina leseni yenye daraja A na D na nina chet cha form 4 dv 4, naombeni mnisaidie mwakani niwe chuo
 
Back
Top Bottom