Unayosema kaka yanaukweli mkubwa sana ndani yake ila kwa suala la matibabu naona itakuwa vigumu kidogo kwani jinsia ya kiume naona hainihusu kwa muda huu...
watu wanaongeaga tu mchina,hamna linalofanywa na mchina....humu ndani kuna mtu alikuja na thread ya kutaka kuongeza miguu.....hamna aliyekuwa na jibu kuhusu hizo dawa.....ni misemo tu ya kudhalilisha wadada...kiukweli hamna dawa zinazofanya chochote labda umuone surgeon ufanye plastic surgery.....
watu wanaongeaga tu mchina,hamna linalofanywa na mchina....humu ndani kuna mtu alikuja na thread ya kutaka kuongeza miguu.....hamna aliyekuwa na jibu kuhusu hizo dawa.....ni misemo tu ya kudhalilisha wadada...kiukweli hamna dawa zinazofanya chochote labda umuone surgeon ufanye plastic surgery.....