Kumekuwa na Utaratibu wa watumishi wa Umma kuhamishwa bila kulipwa stahili zao. Hivi hakuna Sheria inayomlinda Mtumishi kama huyu? Nakumbuka Rais aliwahi kutamka jukwaani kuwa Mtumishi asihame hadi alipwe.
Tafuta definition ya neno: Mtumishi. It simply means going extra mile, uvumilivu etc! It may take 1 year hujapewa na usipo report kazini ni issue! CCM Oye!
Kumekuwa na Utaratibu wa watumishi wa Umma kuhamishwa bila kulipwa stahili zao. Hivi hakuna Sheria inayomlinda Mtumishi kama huyu? Nakumbuka Rais aliwahi kutamka jukwaani kuwa Mtumishi asihame hadi alipwe.
Kuna Mwalimu mdogo wangu kahamishwa Sasa alimiuliza hivo...Ila jibu lako Ni jibu tosha
Haya Mambo ya kienyeji yapo mengi Sana LGA Wizarani na Taasisi zingine hakuna vurugu hizi!
Yaani huu ujinga unafanyika sana kwenye LGA na mbaya zaidi watumishi wenyewe wanauendekeza na kuubariki ionekane ndio mazoea (good practice), unahamishwa halafu unatumia fedha yako kwenda kuripoti na kusafirisha mizigo yako..ukihoji unaambiwa si unalipwa mshahara, tumia huo halafu utalipwa baadae.
Kumekuwa na Utaratibu wa watumishi wa Umma kuhamishwa bila kulipwa stahili zao. Hivi hakuna Sheria inayomlinda Mtumishi kama huyu? Nakumbuka Rais aliwahi kutamka jukwaani kuwa Mtumishi asihame hadi alipwe.
Ni waraka wa namba 2 wa 2018 wa Katibu Mkuu (Utumishi), unakataza mtumishi wa umma kuhamishwa (kulazimishwa kuripoti kituo kipya) kabla ya kulipwa stahiki zake.