Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Hello,
Kuna kitu nimekiona mkoani Dodoma, niliamua kuchana mitaa kadha wa kadha kwa miguu, baada ya kuingia katika manispaa ya Dodoma ili nijionee raha ama uzuri wa mji huu! Chakushangaza.
Line ya maji machafu/taka imeonekana kuharibika sana, maana kila ukifika karibu na tank ndogondogo za barabarani harufu yake ni mbaya na kali sana. Nilijaribu kuulizia wenyeji wakasema jambo hili halijawahi kuzungumziwa hata mara moja! hivi wahusika hawaoni hatari hii? Hii ni hatari inaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa jaman!
Viongozi mnaohusika na maji angalieni line za maji taka dodoma harufu ni mbaya mno!
Nawasilisha.
Kuna kitu nimekiona mkoani Dodoma, niliamua kuchana mitaa kadha wa kadha kwa miguu, baada ya kuingia katika manispaa ya Dodoma ili nijionee raha ama uzuri wa mji huu! Chakushangaza.
Line ya maji machafu/taka imeonekana kuharibika sana, maana kila ukifika karibu na tank ndogondogo za barabarani harufu yake ni mbaya na kali sana. Nilijaribu kuulizia wenyeji wakasema jambo hili halijawahi kuzungumziwa hata mara moja! hivi wahusika hawaoni hatari hii? Hii ni hatari inaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa jaman!
Viongozi mnaohusika na maji angalieni line za maji taka dodoma harufu ni mbaya mno!
Nawasilisha.