Ni sawa Mwanaume kujipaka lipbum?

Ni sawa Mwanaume kujipaka lipbum?

Mimi personally hutumia vaseline...! nisipopaka kidogo asubuhi ile mdomo hukauka sana.
 
Walking around with chapped and crusty lips just ain't the business.

A tube of Carmex will do you right at the right moment.

ue0ZIGrpFMoAAAAASUVORK5CYII=
 
Nadhani inasaidia kutunza lips zisikauke sana au kuchanika,ila Kwa wanaume inafaa wapake kiasi isionekane sana.
 
Lipbalm ni kwa madada tu na wabana pua mwanamme paka vaseline tu kuzuia kupasuka na gaga za midomo.

huu ndo ukweli bhana! Mwishowe tutakuja kutembea barabarani tumevaa kama kina Joti.
 
Lip bum ndo nini?

The Boss najua umeelewa. Kuna mdau kasahihisha spelling huko nyuma.

Swali langu kwa mleta uzi. Ni salon gani wanawapaka hizo balm kwa maana navyofahamu hiyo kitu haichangiwi. Kila mtu anakuwa nayo yake(Kwa aatumiaji).

Zaidi nimeshawahi ona wale wadada wa salon wakiwapaka mafuta mazito kitu ambacho si cha ki staarabu hasa ukizingatia usafi wa mtu na mtu.
 
Yaani mwanaume kupaka lipbam!!! He he he he he!! Hakuna kitu hicho!!! Vinginevyo utakuwa mwanaume kwa matumizi mengine yasiyo ya kiume!!! Hivi ukimwona mwanao wa kiume anapaka lipbam kwa miaka hii si itabidi uanze kuchunguza!!! Wanaume wengi hakuna cha lipbam na kama hata ni lotion ni lazima ziwe dry lotions!!! Nimeshangaa sana!!

Hivi kuna dry lotions kweli?!
 
The Boss najua umeelewa. Kuna mdau kasahihisha spelling huko nyuma.

Swali langu kwa mleta uzi. Ni salon gani wanawapaka hizo balm kwa maana navyofahamu hiyo kitu haichangiwi. Kila mtu anakuwa nayo yake(Kwa aatumiaji).

Zaidi nimeshawahi ona wale wadada wa salon wakiwapaka mafuta mazito kitu ambacho si cha ki staarabu hasa ukizingatia usafi wa mtu na mtu.

inapakwa kwa kidole mkuu.
 
Mbona haya maswali yanazidi sana siku hizi..?!
 
Ila jamani kuwa mwanaume si ndio uwe na ngozi kama ya kenge...

kuna mkaka natamani kumwambia wapi akanunue cocoa butter oil za miguu maana anavaa sandals madai yake summer sasa hiyo miguu mwee nadhani akikugusa lazima uchunike ngozi...

Kuna watu wanadhani usafi kwa mwanaume ni kuoga tu...ngozi haijawahi kuwekwa mafuta...
 
Ila jamani kuwa mwanaume si ndio uwe na ngozi kama ya kenge...

kuna mkaka natamani kumwambia wapi akanunue cocoa butter oil za miguu maana anavaa sandals madai yake summer sasa hiyo miguu mwee nadhani akikugusa lazima uchunike ngozi...

Kuna watu wanadhani usafi kwa mwanaume ni kuoga tu...ngozi haijawahi kuwekwa mafuta...

I miss you a lot..
 
Navyojua zinatofautiana; si u shouger te te te...

Kuna zile ambazo ni lip shine za kawaida tu kama mafuta na kuna hizo sijuhi lipgloss ziwe na rangi au la zinafanya uonekane mrembo; na kwa mwanaume siyo kabisa...

Hizi za kawaida hata mimi ninapenda my man atumie; maana midomo kukauka nayo si vyema...ikibidi basi hata vaseline ingawa vaseline tatizo lake ni portability....

Lipshine za kawaida hizi hata mtu akitumia hutakaa ujue...


Watakua mashoga...loading error...
 
Back
Top Bottom