RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,858
- 129,804
Mkuu hata Dar kuna watu wanahitajika kutumia sababu ngozi na especially lips tunatofautiana sana kweli hali ya hewa ni moja ya sababu lakini pia wapo watu wana scally dry lips! !!
mkuu lips hazina sweat wala glands nyingine zozote za ku-moisten skin kama sehemu zingine za mwili kwahio mdomo wako unatumia ulimi wako kuufanya usikauke uwe dsm au popote duniani.lakini kwa nchi za baridi ulimi hautoshi ndio maana hadi ngozi ya lips hapa katikati inapasuka tena wewe mwenyewe bila kujua ndio maana unashauriwa utumia lip balm......pia nakubaliana na wewe kuna watu lips zao ni dry sana wanaweza kuhitaji hii kitu kila mahali regardless of their sexes.