Ni sawa Mwanaume kujipaka lipbum?

Ni sawa Mwanaume kujipaka lipbum?

Hivi kuna dry lotions kweli?!

Ohh zipo mkuu, huwa zina level ndogo sana ya mafuta hivyo ukipata mwilini hazileti mng'ao sana. Wadada wanajua lotions for oily skin vs for dry skin!!! Sasa wanaume nafikiri hizi za oil skin ambazo huwa hazina mafuta sana ndiyo zinawafaa. Anyway, binafsi sikumbuki nilipata mwili au ngozi yangu mafuta lini but occasionally natumia lotion wife ananinunulia maana anajua for men.
 
Ndugu wanaJF,

Kuna baadhi ya vitu huwa vinatumiwa tu na wanawake, lakini pia vipo vinavyotumiwa na wanaume tu, japo vipo ambavyo twaweza kutumia pamoja.

Sitaki kuzungumzia perfume maana nahc kutakuwa na ubishi sana.


********

Ni sawa ilimradi isiwe ya colour...Iwe colorless...Inasaidia mdomo kutopasuka au kutotoka vingozi ngozi...Si mbaya ila asipaka ndio ikawa inang'aaa kama mwanamke....Akiingarisha sana huyo tutakuwa tunamashaka nae...Inafaida nyingi si urembo tuu bali hata kusaidia ngozi ya mdomo


Unakuta perfume imeandikwa 'for women' lakini mwanaume kajipulizia nyingi, vitu kama simu kutegemeana na rangi twaweza kutumia wote.

Hoja yangu ni matumizi ya LIPBUM kwa wanaume.

Mimi huwa nikienda salon nikipakwa najihisi kama njiani nasemwa kwasababu sijui.

Naomba tusaidiene hapa hasa wale wanaotupaka au wanaotengeneza au wauzaji
 
Na huu upepo....acha kujipaka uone lips zinavokuwa kama kisigino
mi sioni shida ila zisiwe za rangi kama wanazopaka kina ommy dimpoz na wabana pua wenzie

Niliwahi kusikia bbc swahili wanasema hizo lip balm zinatengenezwa kwa kutumia magovi yanayotokana na mtu baada ya tohara...ngoja ni-google nikuletee!!!
 
Back
Top Bottom