Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Nimepitia blogu ya Michuzi na kuona Mama Pinda akiwa kwenye msiba wa Steve Kanumba. Lakini vilevile Mama Pinda kaenda pale akiwa kwenye gari ambayo ikiwa na nembo ya Taifa ambayo inatumiwa na Raisi au Waziri Mkuu. Je ni haki kwa mke wa Waziri mkuu au Raisi kutumia gari iliyo na nembo ya Taifa wakati wenyewe hawana hadhi hiyo?