124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,801
- 5,493
Jua kitu kimoja tu silazima mtu kujenga kila mahala anapofanyia maisha yake .naweza kywa na nyumba kibaha nikaipangisha na mm nikaenda kupanga masaki so it is like swaping houses.
Au nina nyumba bagamoyo maisha yangu(kazi)Dar napangisha nyumba ya bmoyo napanga Dar na usafiri wangu
Au nina nyumba bagamoyo maisha yangu(kazi)Dar napangisha nyumba ya bmoyo napanga Dar na usafiri wangu