Yes why not?
Yes why not?
Una mawazo ya kizee sanaAkili zilizopinda kabisa hizi.Hivi hujisikii vibaya kweli owning a car, hata kama ni Vitz au Suzuki Swift, halafu unakaa kwenye nyumba ya kupanga!? Yaani you park your car outside a house you have rented,and seriously you say you are comfortable.I don't believe it,there must be something seriously wrong with your upstairs.Nadhani tatizo ni kutafuta sifa na utukufu wa wanadamu.Utaonekanaje kwamba wewe ni mtu katika watu, bila kuwa na gari?Sifa za kijinga kabisa.
Umeshasema "kwako wewe".Mkuu hivi unapochukua mkopo bank wanakuambia uweke dhamana gari au nyumba?Kama huambiwi gari,basi ujue kwamba sio kitu cha maana sana,ingawa kwa akili zetu crooked tunaona ni kitu cha maana.Kwangu mimi a car is anonymous to a shirt.
WanaJF poleni na mihangaiko ya kutwa!
Wale wa mijini hasa Dsm sasaiv wapo kwenye foleni barabarani. Yote maisha.
Nimejiuliza hili swala. Maeneo mengi mjini, watu wengi wanamiliki magari licha ya kwamba wanakaa nyumba za kupanga, mfano unamkuta mtu ana mke na watoto 2 huku akiwa kapanga chumba na sebuleni huko uswazi, lakini wakati huohuo ana miliki gari ya kutembelea ya maana mathalani gari ya kuanzia TZS 10 MIL and above. Mtu huyo unakuta hata kiwanja hana. Hii tabia ipo sana hasa Dsm.
Hii kitu ni sahihi wakubwa au kujikweza na ulimbukeni tu wa maisha ya kuigana?
Oooooh,now I know why many of you want cars,misifa.Na wewe uonekane umo.Mbaya zaidi gari yenyewe ni ya mkopo.Aibu sana.Una mawazo ya kizee sana
Mbona kama imekuuma sana?Oooooh,now I know why many of you want cars,misifa.Na wewe uonekane umo.Mbaya zaidi gari yenyewe ni ya mkopo.Aibu sana.
Unaweza jenga kwa 15mWanaJF poleni na mihangaiko ya kutwa!
Wale wa mijini hasa Dsm sasaiv wapo kwenye foleni barabarani. Yote maisha.
Nimejiuliza hili swala. Maeneo mengi mjini, watu wengi wanamiliki magari licha ya kwamba wanakaa nyumba za kupanga, mfano unamkuta mtu ana mke na watoto 2 huku akiwa kapanga chumba na sebuleni huko uswazi, lakini wakati huohuo ana miliki gari ya kutembelea ya maana mathalani gari ya kuanzia TZS 10 MIL and above. Mtu huyo unakuta hata kiwanja hana. Hii tabia ipo sana hasa Dsm.
Hii kitu ni sahihi wakubwa au kujikweza na ulimbukeni tu wa maisha ya kuigana?
Mjini gari,kama nyumba hata Mbuzi anayo.
Mkuu inaelekea hata maana ya priority hujui.Unapo-prioritize you start with the most important,the last itemMbona kama imekuuma sana?
Calm down. Kuna kitu kinaitwa PRIORITY.... Jifunze hilo kwanza halafu urudi kuchangia
Mkuu hizi gari siku hizi zinapiga hela atari...Ubaya ni kwamba mtoa mada hakumaanisha gari ya kazi kwa alivyojipambanua. Kwa maelezo yake amelenga wale wamiliki wa gari za anasa kama brevis, mark 2 grande, mark x, premio, allion, carina, vits, passo, ist, starlet, run x, verossa n.k
Ndicho nilichokuwa nawaambia watu hapa.Kuwa siyo lazima kuanza kujenga.Inategemea Na mipango.Maana hii formula ya kusema lazima uanze kujenga mie ni mhanga wa hii formula ndio maana naipinga.Kuna kihela nikabahatisha kujenga bahati mbaya ujenzi haukufikia mwisho.Mpaka Sasa hivi nasubiri tena miaka kadhaa nipate vihela niendeleze ligi.Mimi nilikuwa mpangaji tena chumba kimoja nilikwenda mgodini nikabahatisha 97 million, kutokana na umasikini uliokithir nikashauriwa kujenga nyumba yangu na wazazi wangu, lakini nikawaza baada ya ujenzi nini kitafuata? Nikapiga chini ujenzi nikaenda kuchomoa John Deer tractor na Diesel pump kubwa nikajificha polini hakika kila mwaka naingiza 120-150 milioni kwa zao la mpunga nilisha jenga mijengo ya kutosha nikafungua kituo cha kukoboa na kuuza mchele pale kuna mashine za kumenya aina ya SATAKI vijana wapo kibao wanapush life pia nimeshaongeza tractor nyingine FORD 6600 sasa kupanga ni kuchagua kwangu kujenga si hoja ila hoja ni mtaji utakaokufanya ujenge bila stress lakini kama unakimbilia kujenga halafu ukimaliza na pesa imekata huko ni kupalilia umasikini hata kama umejenga Bungallow au Mansion ni hayo tu karibuni kilosa
Hongera sana kwa maamuzi na bahati uliyoipataMkuu hizi gari siku hizi zinapiga hela atari...
Mm mwenyewe nilikua na mindset kama hiyo nikanunua uwanja huko madale kabla hata sijanunua gari eti nijenge kwanza...
Sasa hiv nimekiuza kiwanja nimenunua IST nime muajiri dereva kwa wiki ananiletea laki mbili nakula laki nane kwa mwezi, huu uchawi unao itwa UBER bora usikie kwa jirani ako. Kwa sasa nimeagiza honda fit ili niongeze nguvu niwe nakula 1.6m kwa mwezi sina shida na nyumba, nipo zangu Gomz chumba 45,000 kwa mwezi.
Gari ni least important KWAKO.Mkuu inaelekea hata maana ya priority hujui.Unapo-prioritize you start with the most important,the last item
in your priority list being the least important.Sasa priority list gani inayoanza na the least important.Mapya hayo.Hata sijui mmesomea shule gani ninyi watu,your minds are so skewed.Anyway Mimi nimefunga mjadala huu,tukubaliane kutokukubaliana.