Kuna tabia kwa baadhi ya wazee wetu hasa waishio mijini kufanya mambo ya ajabu yasiyoendana na umri wao kama vile kuwa na mahusiano na vijana wadogo kwa kisingizio cha kukemea uzee! Nina mifano kadhaa, kuna mzee mmoja pale mikocheni huwa hakosekani bills anadai muziki wa sasa ni mtamu sana na anausikia mpaka kwenye damu! Pia ana kazi ya kuvimaliza vibinti vya sekondari anasema vinampa joto sana na anajisikia bado anadai - anakemea uzee!
Si ajabu tena siku hizi kukuta mama mtu mzima amejichuna ngozi, kichwani kajitwisha kichaka cha nguvu, kapiga kimini au top inayoacha sehemu kubwa ya mwili nje huku pembeni akiwa na kaserengeti boy katika harakati za kukemea uzee! Kuna mama mmoja alipoulizwa juu ya tabia yake hii alisema uzee unaanzia chalinze Dar hakuna mzee!
Sasa najiuliza, hakuna njia nyingine ya kukemea uzee (kama uzee ni lazima ukemewe) zaidi ya hii inayoenda kinyume na maadili yetu?
Annina
haya ni matabia tu ya hao wazee
Kuna tabia kwa baadhi ya wazee wetu hasa waishio mijini kufanya mambo ya ajabu yasiyoendana na umri wao kama vile kuwa na mahusiano na vijana wadogo kwa kisingizio cha kukemea uzee! Nina mifano kadhaa, kuna mzee mmoja pale mikocheni huwa hakosekani bills anadai muziki wa sasa ni mtamu sana na anausikia mpaka kwenye damu! Pia ana kazi ya kuvimaliza vibinti vya sekondari anasema vinampa joto sana na anajisikia bado anadai - anakemea uzee!
Si ajabu tena siku hizi kukuta mama mtu mzima amejichuna ngozi, kichwani kajitwisha kichaka cha nguvu, kapiga kimini au top inayoacha sehemu kubwa ya mwili nje huku pembeni akiwa na kaserengeti boy katika harakati za kukemea uzee! Kuna mama mmoja alipoulizwa juu ya tabia yake hii alisema uzee unaanzia chalinze Dar hakuna mzee!
Sasa najiuliza, hakuna njia nyingine ya kukemea uzee (kama uzee ni lazima ukemewe) zaidi ya hii inayoenda kinyume na maadili yetu?
Annina
Kuna watu wana majibu ya mkato kiasi kwamba hutakaa umuulize tena! The bottom line is Tanzania is a dying nation! Kuanzia kwenye uongozi wa nchi mpaka kwenye mmomonyoko wa maadili kwenye jamii tunazoishi! Yaani imefika mahali ambapo kuna vitu vinaonekana vya kawaida wakati viko kinyume na maadili.
Mashoga siku hizi eti wameanza kuonekana ni watu wa kawaida katika jamii, hawajifichi tena. Vibinti vya sekondari siku hizi wala havina ''boyfriends'' wanaosoma nao, wana wakaka na wababa wanaofanya kazi na wenye kipato. Wanafunzi wenzao wanawaita ''daddy I am goin''.....!!!
Niishie hapo kwa sasa!
Kuna mama mmoja alipoulizwa juu ya tabia yake hii alisema uzee unaanzia chalinze Dar hakuna mzee!
You make my day!!,Yaani nimecheka mpaka mbavu zinauma,that is why naipenda JF
Kuna tabia kwa baadhi ya wazee wetu hasa waishio mijini kufanya mambo ya ajabu yasiyoendana na umri wao kama vile kuwa na mahusiano na vijana wadogo kwa kisingizio cha kukemea uzee! Nina mifano kadhaa, kuna mzee mmoja pale mikocheni huwa hakosekani bills anadai muziki wa sasa ni mtamu sana na anausikia mpaka kwenye damu! Pia ana kazi ya kuvimaliza vibinti vya sekondari anasema vinampa joto sana na anajisikia bado anadai - anakemea uzee!
Si ajabu tena siku hizi kukuta mama mtu mzima amejichuna ngozi, kichwani kajitwisha kichaka cha nguvu, kapiga kimini au top inayoacha sehemu kubwa ya mwili nje huku pembeni akiwa na kaserengeti boy katika harakati za kukemea uzee! Kuna mama mmoja alipoulizwa juu ya tabia yake hii alisema uzee unaanzia chalinze Dar hakuna mzee!
Sasa najiuliza, hakuna njia nyingine ya kukemea uzee (kama uzee ni lazima ukemewe) zaidi ya hii inayoenda kinyume na maadili yetu?
Annina
Unaposema tunahitaji busara za wazee katika kila jambo ni kama hivyo!. Hata vijana sasa wanaona wakiwa na wazee hakuna kero kuliko kijana mwenzie. Uzee dawa, na kwa ujumla tafsiri ya uzee ni "subjective".
kweli kabisa wamama watu wazima; lets say 40+ hawasumbui kabisaa...Mugabe ana miaka zaidi ya 80, mkewe ni 3os,
Hon. Wasira 60s, mamsapu 30's
nk.
kweli kabisa wamama watu wazima; lets say 40+ hawasumbui kabisaa...
wasichana -30 wanakera, kwanza wana penda kuringa na kupiga mizinga ya ajabu ajabu sana! Wacha niendelee kuitwa serengeti boy...raha si napata mimi...
kweli kabisa wamama watu wazima; lets say 40+ hawasumbui kabisaa...
wasichana -30 wanakera, kwanza wana penda kuringa na kupiga mizinga ya ajabu ajabu sana! Wacha niendelee kuitwa serengeti boy...Raha si napata mimi...
" It turns out that older men chasing younger women contributes to human longevity and the survival of the species, according to new findings by researchers at Stanford and the University of California-Santa Barbara.
Evolutionary theory says that individuals should die of old age when their reproductiv lives are complete, generally by age 55 in humans, according to demographer Cedric Puleston, a doctoral candidate in biological sciences at Stanford. But the fatherhood of a small number of older men is enough to postpone the date with death because natural selection fights life-shortening mutations until the species is finished reproducing.
The key question is: Does the population have a greater growth rate if men are reproducing at a later age? The answer is 'yes.' The age of last reproduction gets pushed into the 60s and 70s if you add men to the analysis.
(http://www.scienceblog.com/cms/old-men-chasing-young-women-good-thing-14203.html)
Ukiangalia kwa makini, hao wanaojitapa hivyo si wengine bali ni wale waliokata pande kubwa la keki ya taifa. watu wenye kwenda bills na kuhangaika na watoto wa shule pamoja ba viserengeti boys ni kwamba wana finacial capability ya kufanya hivyo na mara nyingi wala sio pesa za kustaafu manake mishahara inafahamika-ni zile zile zetu walizojipatia kwa njia ambazo si halali hata kama hatuwezi kuprove hilo!
uzuri hawakawii kufia viuoni kama Mc Lema (RIP)