tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Habari JF?
Poleni na misiba inayoliandama Taifa letu pendwa la Tanzania.
Nipo safarini mkoa flani, na huo mkoa kuna binti flani alikuwa mpenzi wangu some years ago.
Tumerejesha mawasiliano hivi karibuni, after kumuambia nipo kwenye mkoa husika, ameniomba nisiingie cost bure, badala yake nifikie kwake coz anaishi mwenyewe tu.
So naomba kuelimishwa kama ni sahihi kwa mimi kufikia nyumbani kwa huyu mwanamke or not?
Poleni na misiba inayoliandama Taifa letu pendwa la Tanzania.
Nipo safarini mkoa flani, na huo mkoa kuna binti flani alikuwa mpenzi wangu some years ago.
Tumerejesha mawasiliano hivi karibuni, after kumuambia nipo kwenye mkoa husika, ameniomba nisiingie cost bure, badala yake nifikie kwake coz anaishi mwenyewe tu.
So naomba kuelimishwa kama ni sahihi kwa mimi kufikia nyumbani kwa huyu mwanamke or not?