Ni sahihi mwanamke kumshurutisha mwanaume kuomba msamaha kwa namna atakayo yeye

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,945
5,849
Ndugu zangu Mwenyezi Mungu mwingi wa huruma na rehema tunaomba utusamehe sisi wanadamu napia tunawaleta kwako ndugu zetu wa mkoani Manyara-Arusha wa kule hanang, Mungu endelea kuwa rehemu na kuwafariji wote walio jeruhika na waliopoteza wapendwa wao kutokana mud slide disaster pia tunaomba utuepushe na majanga yote ya kibinadamu yanayo dhuru mwili na roho. Amen

Ndugu zangu wana JF. Katika maisha yetu tumekua sisi wanaume tukiwakosea wapendwa wetu na kama inavyofahamika ni ngumu sana kuomba msamaha kwa maneno yaliyo nyooka bali sisi kama wanaume tunaomba msamaha kwa vitendo/ kwa mazungumzo ya amani pindi tunapogundua tumewakosea wapenzi /wake zetu.

Sasa kunatatizo limejitokeza la hawa wanawake zetu kututaka na kutushuruti tusujudu kuwaomba msamaha pindi tunapo kosea kwa kukiri kabisa kwa vinywa vyetu tena tuombe kwa namna hii.

* MKE /MPENZI WANGU NAOMBA UNISAMEHE NIMEKUKOSEA*

sasa je, ni sahihi mwanamke kukushurutisha wewe mwanaume njia ya kumuomba msamaha pindi unapotambua umekosea na siyo kutumia iliyo kawaida ya mwanaume kuomba radhi kwa vitendo vice versa?


karibuni
 
mwanaume ni kiongozi au msimamizi wa mwanamke.
kitendo cha kushurutishwa namna ya kuomba msamaha,tayari ni dalili kwamba umeshapoteza mamlaka. mkeo amejidhirisha kwamba wewe ni kiazi either unalewa sana,huna malengo wala mikakati ya mbele,na umepoteza dira katika familia.

kwa kawaida mwanaume huelekezwa makosa yake na mkewe kwa unyenyekevu na kwa njia ya kutia huruma na unyonge mwingi,hali hii ndio tunaitarajia kutoka kwa wake zetu ili kujiridhisha ni kweli ni watii kwetu.

hapa huwa hatuna ujanja zaidi ya kutekeleza kwa vitendo tulichoombwa,au kuomba msamaha kwa kuleta vijizawadi nk.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Mwenyezi Mungu mwingi wa huruma na rehema tunaomba utusamehe sisi wanadamu napia tunawaleta kwako ndugu zetu wa mkoani Manyara-Arusha wa kule hanang, Mungu endelea kuwa rehemu na kuwafariji wote walio jeruhika na waliopoteza wapendwa wao kutokana mud slide disaster pia tunaomba utuepushe na majanga yote ya kibinadamu yanayo dhuru mwili na roho. Amen

Ndugu zangu wana JF. Katika maisha yetu tumekua sisi wanaume tukiwakosea wapendwa wetu na kama inavyofahamika ni ngumu sana kuomba msamaha kwa maneno yaliyo nyooka bali sisi kama wanaume tunaomba msamaha kwa vitendo/ kwa mazungumzo ya amani pindi tunapogundua tumewakosea wapenzi /wake zetu.

Sasa kunatatizo limejitokeza la hawa wanawake zetu kututaka na kutushuruti tusujudu kuwaomba msamaha pindi tunapo kosea kwa kukiri kabisa kwa vinywa vyetu tena tuombe kwa namna hii.

* MKE /MPENZI WANGU NAOMBA UNISAMEHE NIMEKUKOSEA*

sasa je, ni sahihi mwanamke kukushurutisha wewe mwanaume njia ya kumuomba msamaha pindi unapotambua umekosea na siyo kutumia iliyo kawaida ya mwanaume kuomba radhi kwa vitendo vice versa?


karibuni
Ni sahihi kabisa kwa mwanamke kumshurutisha mwanaume bwege kumuomba msamaha atakavyo yeye(mwanamke)
 
Back
Top Bottom