Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Haya Best kuna mchepuko huko unafua boxer bila kulalama tena unadai kwanini ufue boxer na mimi nipo hapa. Wakati mwingine vitu vidogo vidogo kama hivyo vinajenga ukaribu wa kufa mtu. Njemba inaona mchepuko wala hatii neno kufua boxer ya njemba wakati yule mama chanja atatoa maneno utadhani kufua boxer mikono itakatika.
u are well trainedMwanamme unatakiwa uifue boxer au kufuli wakati unapooga mara baada ya matumizi ya siku nzima tokea asubuhi hadi jioni kwasababu huwezi kulala pembeni ya mamaa Sky Eclat kabla hujaoga., kwani utakuwa una harufu ya jasho pamoja na ile ya ikulu.
Unalala na Pyjama bila boxer na asubuhi unavaa boxer au kufuli mpya.
Unatakiwa uwe na hizo boxer 7 kila siku unavaa mpya na 7 za nyongeza.
Na hiyo ni pamoja na soksi 14 saba za kila siku na 7 za akiba.
Bila kusahau vifuta jasho 14 pia!
Namna hiyo Sakayo safi sana...sasa umekuwa mfano mzuri kwa Sky Eclat ajionee kuwa sio la ajabu na sio kutaka equality kwenye kila jamboSijakusuta mkuu... Ila kwa mie naeleewa hilo ni jukumu mojawapo la mke, mwanaume huwa anashawishiwa na vitu vidogo mnoo na sio kama hawezi kufua hiyo nguo, huwa wanataka kuona ni unajali, unaupendo wa namna gani
Bibie nimekwambia sio ajabu wanandoa kufuliana underwear zao...sio amri ni hiari na huchangia kulijenga penziBasi tupeane zany na yeye awe a afya za kwangu
Pamoja na kuwa haifiki dakika kumi kufua kwanini mwanaume asifue mwenyewe? Hamfahamu kuwa yuko katika dunia ya haki sawa?
No stadia yeye au Amun i.e. washing machine beli3 pia ni binadamu
katika ubora wako mama michapio, kweli maudieUnamkuta kabisa mwanaume anatoka bafuni ameacha boxer kwenye ndoo hii ni haki kweli? Kwanini Maudie boxer na ma kufuli yenu?
Kwani ni dhambi kumfulia mume boxer? Beki tatu ndiye aifue Best? Kuna vitu vingine ni vidogo vidogo sana ndani ya ndoa/mahusiano havistahili haya kulalamika. Kufua boxer haifiki hata dakika 10 hili nalo ni kulalama Best? Nauliza tu.
Haya Best kuna mchepuko huko unafua boxer bila kulalama tena unadai kwanini ufue boxer na mimi nipo hapa. Wakati mwingine vitu vidogo vidogo kama hivyo vinajenga ukaribu wa kufa mtu. Njemba inaona mchepuko wala hatii neno kufua boxer ya njemba wakati yule mama chanja atatoa maneno utadhani kufua boxer mikono itakatika.
Basi tupeane zany na yeye awe a afya za kwangu
Kwa hapa Leo umeteleza mama! Ni jukumu letu kuhakikisha unadhifu wa wenza wetu iwe mume kufua za Mke au mke kufua za mume ni nyie tu na utaratibu wa mapenzi yenu,Nguo za ndani ni kitu kidogo sana ila kimebeba maana kubwa mno mumeo akikufulia kufuli zako hata kwa kuzirudia tu kwa Mara ya pili ni ishara kubwa ya mapenzi aliyo nayo moyoni juu yako na hivyo hivyo kwa mwanaume kufuliwa boxer na mkewe ni mapenzi ni muunganiko wenuPamoja na kuwa haifiki dakika kumi kufua kwanini mwanaume asifue mwenyewe? Hamfahamu kuwa yuko katika dunia ya haki sawa?
Ni wajibu wa mwanamke kufua Nguo za mume wake haswa za ndani. Kama mtu uko busy sana sawa hg anaweza kufua suruali na mashati ila vest na boxer zisikushinde jamaniiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haina fomula inategemea mnaishije na mkeo/mmeo if your friends mtafuliana bila tatizo, na if mnaishi kwa principles za mume na mke hii itakuwa agenda....but ni kitu simple sana kwa wanao ishi kwenye ndoa ya upendo.Unamkuta kabisa mwanaume anatoka bafuni ameacha boxer kwenye ndoo hii ni haki kweli? Kwanini Maudie boxer na ma kufuli yenu?