Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu

Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa katika mila na desturi za Kiswahili, kuna maadili yanayoongoza mahusiano kati ya mwanaume, mke na familia ya mke.

Wapo baadhi ya watu wanaona kuwa si sahihi kwa mwanaume kulala ukweni na wengine wanaona hakuna shida yoyote.

Tuzungumze kidogo kama ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni
 
Binafsi nafikaga ukweni kwenye msiba tuu na usiwe wa mbali, sio amekufa shemeji yake baba mkwe, na penyewe tukizika tuu natembea zangu, sitakagi shobo. Harusi nyingi sitimbagi, anaendaga mwenye kwao. Mambo mengi namalizaga kwa kutuma mkono tuu.
 
Binafsi nafikaga ukweni kwenye msiba tuu na usiwe wa mbali, sio amekufa shemeji yake baba mkwe, na penyewe tukizika tuu natembea zangu, sitakagi shobo. Harusi nyingi sitimbagi, anaendaga mwenye kwao. Mambo mengi namalizaga kwa kutuma mkono tuu.
Akifika huko analiwa na ex wake yule bwana mdogo msaga mashine wa Kijiji ambaye walisomaga darasa moja😀
 
Wakuu

Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa katika mila na desturi za Kiswahili, kuna maadili yanayoongoza mahusiano kati ya mwanaume, mke na familia ya mke.

Wapo baadhi ya watu wanaona kuwa si sahihi kwa mwanaume kulala ukweni na wengine wanaona hakuna shida yoyote.

Tuzungumze kidogo kama ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni
Sio sahihi hata kidogo, labda itokee dharura .
 
Wakuu

Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa katika mila na desturi za Kiswahili, kuna maadili yanayoongoza mahusiano kati ya mwanaume, mke na familia ya mke.

Wapo baadhi ya watu wanaona kuwa si sahihi kwa mwanaume kulala ukweni na wengine wanaona hakuna shida yoyote.

Tuzungumze kidogo kama ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni
Unazungumzia kulala au kuishi ukweni?
Suala la kulala lina shida gani wakati ushakuwa mtoto mwenza wa hiyo familia?
 
Kulala ni kawaida. Mfano mimi nikienda kusalimu kijijini, hupanga ratiba: usiku mmoja lazima nilale kwa wakwe. Hii ratiba hufahamika angalau miezi miwili kabla ya safari. Huu ni mwaka wa 15….ipo hivyo na itaendelea hivyo.
Unazungumzia kukala au kuishi ukweni?
Suala la kulala lina shida gani wakati ushakuwa mtoto mwenza wa hiyo familia?
 
Wakuu

Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa katika mila na desturi za Kiswahili, kuna maadili yanayoongoza mahusiano kati ya mwanaume, mke na familia ya mke.

Wapo baadhi ya watu wanaona kuwa si sahihi kwa mwanaume kulala ukweni na wengine wanaona hakuna shida yoyote.

Tuzungumze kidogo kama ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni
Kama ni mume wa ndoa hakuna shida,analala tu,mradi iwe ni nyumba ambayo mkianza kunyanduana wakweze wasisikie miguno na msukosuko wa kitanda
 
Kwani kuna ulazima gani wa kutiana ukweni, kwanini msisubiri mkarudi tu kwenu!
Kutiana ni sehemu ya ndoa na kwakuwa mmehalalishwa kutiana ni wajibu,hivyo kutiana ukweni ni muhimu na kuna ladha fulani ambayo mnapotiana ukweni unaipata na hata maongezi yenu wakati mnatiana yata akisi ukweli kwamba mnanyanduana ukweni,na hasa wewe mwanaume lugha yako wakati tendo linaendelea ni kumkumbusha mwenzio kuwa unamnyandua ukweni,naye mweza wako anakuitikia nyandua baba nyandua,maana hata wazazi wangu wanajua saa hizi unaninyandua
 
Kutiana ni sehemu ya ndoa na kwakuwa mmehalalishwa kutiana ni wajibu,hivyo kutiana ukweni ni muhimu na kuna ladha fulani ambayo mnapotiana ukweni unaipata na hata maongezi yenu wakati mnatiana yata akisi ukweli kwamba mbanyanfuana ukweni
Khaa mi siwezi aisee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom