Hahaha kandambili zinaokotwa wapi?!hivyo viatu vya kufunika vinaokotwa?
Hahaha kwani bei ya kandambili ina halalisha uchafu?! Hata zingeuzwa laki sioni usahihi wa hili. Joto gani hilo kuna watu nitabia zao tu. Kwani ukivaa kandambili joto linaisha?! Utetezi huu siukubaliKuna zile kandambili za 3000 mpaka 5000 hizo poa sana kuzunguka nazo mjini hasa kipindi cha joto
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuma vyuma mkuu.....hatuna hela za kununulia viatu vya kufunika.Kwanini watu wana zurura wamevaa kandambili?! Mjini kati kati mtu kavaa kandambili, unakutamuhimu, ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyo funika miguu yao?!
Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu, lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!
Kuna dada wana viji kanda mbili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au unasikini au kutokuelewa?!
Hahaha watu wabadirike, ukiwa mjini angalia unakuta mtu juu msafi, chini kavaa kanda mbili halafu miguu michafu wengine hadi kucha hazionekani kwa wingi wa vumbi. Tuvae viatu vya kufunika miguu.Huu ni ushauri au mipasho
Ndala/kandambili shule sio sahihi kabisa.We huna tofauti na wale walimu waliokuwa wanazingua ndala enzi za shule asee
Mpigwe marufuku kuingia mjini kama bodaboda, muishie magomeni.Vyuma vyuma mkuu.....hatuna hela za kununulia viatu vya kufunika.
Na sisi tunao ishi huku Mbagulile mwisho wetu wapi?Mpigwe marufuku kuingia mjini kama bodaboda, muishie magomeni.
sheria gani inakataza hayo?Kwanini watu wana zurura wamevaa kandambili?! Mjini kati kati mtu kavaa kandambili, unakutamuhimu, ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyo funika miguu yao?!
Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu, lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!
Kuna dada wana viji kanda mbili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au unasikini au kutokuelewa?!
Huko kwenye mabafu yetu uswahilini, lakini hata mabafu ya kisasa yenye bath tub sidhani kama kuna kuvaa kandambili/ndala.Kandambili zinavaliwa wapi na kwa sababu zipi?