Wakuu naomba tusaidiane.
Unawezaje kufikisha ujumbe kwa mapenzi wako au mkeo kuwa hakulidhishi?
Je, ni sahii kumwambia direct au Kuna njia ya kufikisha ujumbe huu kwa wepesi?
Je, ni sahii kujinyima raha ya kulidhishwa kimapenzi kwa kigezo cha kuitwa mwaminifu na mwenye msimamo?
Karibuni
Unawezaje kufikisha ujumbe kwa mapenzi wako au mkeo kuwa hakulidhishi?
Je, ni sahii kumwambia direct au Kuna njia ya kufikisha ujumbe huu kwa wepesi?
Je, ni sahii kujinyima raha ya kulidhishwa kimapenzi kwa kigezo cha kuitwa mwaminifu na mwenye msimamo?
Karibuni