Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Serious we are no more
Serious we are no more
Za nje ya jf...!za humu nnazo zako
Serious we are no more
Kuna mshkaji wangu kitaa tulifanana kimtindo. Bahati mbaya akafariki baada ya kuugua.
Then taarifa zikasambaa mtaani kwamba nimekufa mimi. Sikuwepo kipindi hicho.
Nilirudi baada ya miaka miwili kila mtu ananishangaa kama kaona mzimu!
Hahahahaha hii ishu kama niliisoma hapa Jf jana, hahahahahaha pole sana Mkuu.tetesi nilizozisikia simu yangu imefanana na
na ya yule mama hivo nimemuibia kumbe kaiacha nyumbani kwake na housgrl ndie aliepokea wakat ikipigwa.
HahahahahahahahahahahahahahahahahahaKuna mshkaji wangu kitaa tulifanana kimtindo. Bahati mbaya akafariki baada ya kuugua.
Then taarifa zikasambaa mtaani kwamba nimekufa mimi. Sikuwepo kipindi hicho.
Nilirudi baada ya miaka miwili kila mtu ananishangaa kama kaona mzimu!
Ikawajetetesi nilizozisikia simu yangu imefanana na
na ya yule mama hivo nimemuibia kumbe kaiacha nyumbani kwake na housgrl ndie aliepokea wakat ikipigwa.
Hebu nipe basi.
Hawa kukukimbia?!!Kuna mshkaji wangu kitaa tulifanana kimtindo. Bahati mbaya akafariki baada ya kuugua.
Then taarifa zikasambaa mtaani kwamba nimekufa mimi. Sikuwepo kipindi hicho.
Nilirudi baada ya miaka miwili kila mtu ananishangaa kama kaona mzimu!