Ni Rais.........

Ni Rais smart tall guy and handsome mwenye shahada ya degree kwa kupenda ngono na wake wa watu.

​AMEHITIMU!!!
 
mmmmmmmmmh yote haya kwa sabab ya fake name zenu mnazotumia, hv kama mkiwa meza moja mwaweza ongea yote haya kama c kuanza kumwambia oooh we ni handsome sana mara oooh we unachapa kazi kweli kweli. haya bhana huu ndo uhuru mnaoutaka. napta tu
 
Tungeweza.
weeeeee thubutu> yaaah mngeanza oooh we ni handsome sana ihali kshazeeka mara oooh wee unapendeza xana mara ooh unasimamia rasilimali za nchi vizuri mara ooh wee nirais bora africa. yaaan mngemwagia sifa ambazo hata fidel castro wa cuba hana. m nawaangalia 2 mnavyohuzunika
 
jamani mbavu zangu nimecheka mpaka basi, kwa sifa hizi huyu ni raisi zaidi ya mfalme juha

lol!!!!!!!!

Kama kuna mfano wa nchi ya kusadikika basi raisi huyu anaiongoza nchi ya kusadikika

kwasababu ni raisi mwenye wananchi wa kulalamika pembeni bila matendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…