Ni Rais gani aliyepita Tanzania aliyewahi kufanya sherehe ya kutimiza mwaka mmoja madarakani

Please put your facts straight;

Hii ni awamu ya tano mhula wa pili


Hatuna awamu ya sita bado.
 
Tukielekea katika siku maalum ya kilele Cha sherehe ya kuadhimisha mwaka mmoja wa utawala wa raisi wa awamu ya sita nchini Tanzania,Nina maswali kadhaa kwa wadau wa siasa nchini.
...
Tatu je mwaka mmoja unatosha kweli kujipima kwa utendaji wa nchi kubwa Kama Tanzania yenye wakazi zaidi ya milioni 60.
....
Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2020, ndio kipimo cha utendaji kazi wa Serikali iliyoko madarakani, na si vinginevyo
 
Hii mzee Kuna watu wanatumia fursa sema sisi watz ni waoga Sana kuhoji.
Ndugu yangu nchi hizi zetu zenyewe maskini, lakini badala ya kujitathmini, na kusonga mbele bila kutumia pesa nyingi zisizo na tija kwa kuadhimisha sherehe, na badala yake kusonga mbele na kunyanyua uchumi duni na umaskini walionao,wao vipaumbele ndo hivyo tena.....Kaaazi kwelikweli.
 
Ndugu yangu nchi hizi zetu zenyewe maskini, lakini badala ya kujitathmini, na kusonga mbele bila kutumia pesa nyingi zisizo na tija kwa kuadhimisha sherehe, na badala yake kusonga mbele na kunyanyua uchumi duni na umaskini walionao,wao vipaumbele ndo hivyo tena.....Kaaazi kwelikweli.
Serikali iliyoko madarakani ina fedha nyingi kutokana na tozo, misaada na mikopo hivyo ina uwezo wa kugharamia sherehe yoyote ile ya Kitaifa au kiongozi binafsi.

Tofauti na awamu iliyopita, fedha iliyotengwa kwa ajili ya sherehe za kitaifa ilitumika kwenye miradi ya maendeleo.

Hivyo basi, tukubali au la, KAZI IENDELEE badala ya Hapa Kati Tu.
 
Tukielekea katika siku maalum ya kilele Cha sherehe ya kuadhimisha mwaka mmoja wa utawala wa raisi wa awamu ya sita nchini Tanzania,Nina maswali kadhaa kwa wadau wa siasa nchini.

Je ni raisi gani wa TANZANIA aliyewahi kufanya sherehe ya kuadhimisha mwaka mmoja tu wa madaraka yake?

Je Kuna kipi kipya ambacho kimefanyika katika mwaka mmoja huu ambacho hakikuanzishwa na mwenda zake?

Tatu je mwaka mmoja unatosha kweli kujipima kwa utendaji wa nchi kubwa Kama Tanzania yenye wakazi zaidi ya milioni 60.

Je, wananchi wanaichukuliaje hii sherehe na inamaslahi gani kwa wananchi wanyonge Kama Mimi?

Je, kutapatikana fursa ya kufanya tathmini ya kina ya kujikosoa ili kufanya maboresho katika nyanja mbalimbali za kiutendaji Kama serikali au shughuli itakuwa imemezwa na Sera za kusifu kila kitu?

Naombeni majibu wadau ili tusaidie kupeleka mbele gurudumu la Taifa tujadili kistaarabu tukitanguliza maslah mapana ya Taifa na uzalendo .
Ushamba tu, nchi inavituko Sana, ukiona mtu analazimisha kuonesha amefanya nini jua hajafanya kitu, FANYA kaa kimia watu wataelewa na Dunia itakuelewa kwamba umefanya kitu, mfano chukulia Rais wa Zambia
 
Tukielekea katika siku maalum ya kilele Cha sherehe ya kuadhimisha mwaka mmoja wa utawala wa raisi wa awamu ya sita nchini Tanzania,Nina maswali kadhaa kwa wadau wa siasa nchini.

Je ni raisi gani wa TANZANIA aliyewahi kufanya sherehe ya kuadhimisha mwaka mmoja tu wa madaraka yake?

Je Kuna kipi kipya ambacho kimefanyika katika mwaka mmoja huu ambacho hakikuanzishwa na mwenda zake?

Tatu je mwaka mmoja unatosha kweli kujipima kwa utendaji wa nchi kubwa Kama Tanzania yenye wakazi zaidi ya milioni 60.

Je, wananchi wanaichukuliaje hii sherehe na inamaslahi gani kwa wananchi wanyonge Kama Mimi?

Je, kutapatikana fursa ya kufanya tathmini ya kina ya kujikosoa ili kufanya maboresho katika nyanja mbalimbali za kiutendaji Kama serikali au shughuli itakuwa imemezwa na Sera za kusifu kila kitu?

Naombeni majibu wadau ili tusaidie kupeleka mbele gurudumu la Taifa tujadili kistaarabu tukitanguliza maslah mapana ya Taifa na uzalendo .
Tuache ushamba .
Kinachofanyika siyo sherehe ni tathmini yaliyoganyika kwa mwaka. Wanaaanzia siku 100 hadi mwaka..mambo hays yalianzia hilo USA kama sikosei kwa rais roosevelt
 
Tuache ushamba .
Kinachofanyika siyo sherehe ni tathmini yaliyoganyika kwa mwaka. Wanaaanzia siku 100 hadi mwaka..mambo hays yalianzia hilo USA kama sikosei kwa rais roosevelt
Pale mliman city ni sherehe tu Kama sherehe zingineView attachment 2156436
1647678144590.jpg
View attachment 2156437
 
Wakati ule ilikuwa ni maazimio ya bunge zaidi kupongeza
 
Tuache ushamba .
Kinachofanyika siyo sherehe ni tathmini yaliyoganyika kwa mwaka. Wanaaanzia siku 100 hadi mwaka..mambo hays yalianzia hilo USA kama sikosei kwa rais roosevelt
Kumbe hayo Mambo ni ya mabeberu,
Na mnawaiga mabeberu ninyi kenge eeh
 
Mashamba Yao makubwa ya unyang'anyi yamerudi, bandari zao kavu zinajengwa, vichwa vya mabehewa Yao vinakuja, kwanini wasishinikize kufanya sherehe?

Tuwaache!
TIME HEALS ALL WOUNDS
 
Mashamba Yao makubwa ya unyang'anyi yamerudi, bandari zao kavu zinajengwa, vichwa vya mabehewa Yao vinakuja, kwanini wasishinikize kufanya sherehe?

Tuwaache!
TIME HEALS ALL WOUNDS
Kitu kikubwa kinachonipa hofu watu wanasifia mpaka wanapitiliza Yani kasoro hazisemwi ni sifaaa sifaaaa sifaaa mpaka basi,Kama mama asipokuwa makini na kukumbuka alipotoka atafeli Sana.
 
Kitu kikubwa kinachonipa hofu watu wanasifia mpaka wanapitiliza Yani kasoro hazisemwi ni sifaaa sifaaaa sifaaa mpaka basi,Kama mama asipokuwa makini na kukumbuka alipotoka atafeli Sana.
Well said Mkuu, juzi juzi hapa nilikua nimepata nafasi kutazama kipindi cha Malumbano ya hoja ITV kiukweli nilibidi nizime tv nikalale tuu sifa juu ya sifa hakuna mapungufu, hii nchi ngumu sana.
 
Back
Top Bottom