Wadada wengi ukimtongoza safarin atakubali ili umnunulie vitu njian mkifika sehemu ya kula ununue ila Kama ajakupenda mkifika ndio umuoni tena
Ayajanikuta na ayawezi kunikuta,mi ndio nasumbuliwa na hao mademu nikifika nawapotezeaMkuu kwa ulivyoielezea ni kama yalishakukuta🙂
It happens ni Vicrush vya kawaida tu
Wadada wengi ukimtongoza safarin atakubali ili umnunulie vitu njian mkifika sehemu ya kula ununue ila Kama ajakupenda mkifika ndio umuoni tena
nataman hyo bahat ya kupata demu safarin inikute na mm