MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya FIRST CLASS ECONOMIST ,Mwigulu Muchembaaaa!!!!!. Mchemba tokeza mkuu na skafu zako mpaka za mikononi tukusikie where are you?