Hivi jamani hali ya Mwigulu inaendeleaje? Aliahidi kunjwa sumu kama CHADEMA ikishinda.
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Kwekwekwekwekwekwe!!!
Asipojinyonga tunamnyonga wenyewe , kudadadeki.
Mwigulu, ushakunywa sumu au bado?
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Bora mambo ya uchaguzi yameisha na tumebaki na amani yetu