Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
kauli hii ilitolewa na muheshmiwa flani wa ccm wakati wa kampeni, namwomba mheshmiwa aje hapa achague aina ya kifo akitakacho.
kauli hii ilitolewa na muheshmiwa flani wa ccm wakati wa kampeni, namwomba mheshmiwa aje hapa achague aina ya kifo akitakacho.
kauli hii ilitolewa na muheshmiwa flani wa ccm wakati wa kampeni, namwomba mheshmiwa aje hapa achague aina ya kifo akitakacho.
Asije kujichagulia aina ya kifo hapa akatuletea liroho lake la mauti! Akufilie mbali!
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba hapa JF...!
VALIDITY YA HUU USEMI IKO WAPI?...Je atawajibika kwa kufuta kauli hii?
Sijawahi kuwapa wachungaji kalenda za CCM. HABARI YA MATOKEO AMA KULA KWANGU TUTAJUA TAR MOSI
Baridiiiiiii tar mosi nina uhakika na nitakuwa na skafu shingoni na kwenye mikono yote miwili nikishangilia. Unatamani sana nipate aibu lakini sio arumeru labda jua litokee magharibi kwenda mashariki
Utaona tar mosi kama walielewa au la. Reading from their faces wameelewa sana ndio maana inakuuma. CCM INASHINDA
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA
April kumi Sioi Sumari anakwenda kuapishwa. Anayebisha aombe uzima mpaka siku hiyo. CCM NI NA ONE
CCM waungwana waliisha zamani, wamebaki vichaa tu!Muungwana hapo angewajibika kwa Kauli yake