Ni pombe ndio ilinisababishia haya

Ni pombe ndio ilinisababishia haya

Me naona itakuwa vema ukiomba ushauri huu kwa mkeo, atakupa ushauri maridhawa kabisa humu ndani nafikiria utaambulia matusi tu.
 
Galadudu bhana, story za kutunga kibaoooo... zile za demu uliemplipiaga nauli akakuletea dharau kisha akakupenda ila jamaa yale akawa na mguu wa kuku ziliishiaga wapi?
 
Last edited by a moderator:
Nenda fasta kapime,, mara nyingi hao hawapendagi kufa peke yako,, tena ulikuwa bwiii bila shaka haukutumia kinga,, pole!
 
Endelea kula na Mkeo aliwe na watoto wako wa kike wabemendwe cos ya laaana yako hiyo
 
Galadudu bhana, story za kutunga kibaoooo... zile za demu uliemplipiaga nauli akakuletea dharau kisha akakupenda ila jamaa yale akawa na mguu wa kuku ziliishiaga wapi?

Yule bado naendelea kugegeda mumewe alienda masomoni Finland, kwani unataka kila kitu kinachoendelea niwe naleta humu
 
Last edited by a moderator:
Nenda fasta kapime,, mara nyingi hao hawapendagi kufa peke yako,, tena ulikuwa bwiii bila shaka haukutumia kinga,, pole!

Ktk mara zote tulizokutana cjawahi piga bila condm
 
Dah yaaani my wife wangu anavyoibana simu yangu hahahaahaahah sijui hayo ma sms ya malavidave yangepitia wapi. Kwangu na kama niko Gwantenamo vile kha
 
Dah yaaani my wife wangu anavyoibana simu yangu hahahaahaahah sijui hayo ma sms ya malavidave yangepitia wapi. Kwangu na kama niko Gwantenamo vile kha

Pole sanaaaa hamia Digitek...
 
Wewe ni mwanaume wa kwanza kusikia humu JF unafanya biashara ya ngono ya kujiuza...unagonga unalipwa, peleka kodi yetu TRA, ukiuza toa risiti ukinunua dai risiti! Weeee ni BURE KABISAAAAA!
 
Pombe haina haya,kuna mrembo mmoja niliwahi kumfukuzia akanitosa,ikatokea siku nimelewa halafu yeye hanywi pombe,nilimpiga sound akakubali wakati tunaelekea gheto kama hatufiki tukaanzia njiani ye chini mi juu,kufika gheto nipo nyang'anyamg'a,tukajiangusha on bed,asubuhi tunaamka,mi magoti suruali halifai imechafuka,nikaanza kujiuliza mi nililewa ye hajaliwa alikubalije kulazwa kwenye vumbi!
 
Utamla mtoto then mtoto atakuja na rafiki yake atakutambulishaaa utaomba tena wana jf ushauri.....cha msingi lea familia yako na muombe Mungu akuepushe na hilo pepo la ngono
 
Season 1 Episode 1

Loading please wait......
 
Yule bado naendelea kugegeda mumewe alienda masomoni Finland, kwani unataka kila kitu kinachoendelea niwe naleta humu

ingekuwa poa sana mkuu.... movie nzuri ni Ile tunayoanzia mwanzoni hadi kumaliza......
 
Utamla mtoto then mtoto atakuja na rafiki yake atakutambulishaaa utaomba tena wana jf ushauri.....cha msingi lea familia yako na muombe Mungu akuepushe na hilo pepo la ngono

wewe mwenyewe Playboy.... umewezaje kutoa ushauri mzuri hivi? pili story za galadudu zisikuumize sana kichwa... huyu ni director wa movie.. anakupa scene tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom