Ni pombe ndio ilinisababishia haya

Ni pombe ndio ilinisababishia haya

kuna watu wana moyo jamani,ivi ukiona watoto wako unafikiria nini?
 
Ndio umgegede huyo uachane na mama yake. Ukianza kibedui tunamaliza kibedui!
 
wewe mwenyewe Playboy.... umewezaje kutoa ushauri mzuri hivi? pili story za galadudu zisikuumize sana kichwa... huyu ni director wa movie.. anakupa scene tu

Kuwa playboy sio tatizo....#tatizo ni naona jamaa anacheza rafu vp kama mama sukari ameukwaa vipi akimla na mtoto wa mama..then akarudi kwa mkewe...
 
Last edited by a moderator:
1.baki njia kuu michepuko ni nouma
2.unywaji pombe kupitakiasi ni hatari kwa afya yako.
3.ipende familia yako. 4.ogopa magonjwa ya zinaa. 5.muogope MUNGU.
 
Weka akilin kua mkeo watu pia wanakula Nta tena hata bila kuisingizia pombe
 
Kanywe nae pombe huyo binti utapata jibu mana inaelekea hata ukishauriwa hapa ukilewa tu akili inaruka unasahah vyote.
 
teh teh teh baba kula tu hii kitu mwenyez mungu katupa bure tupeane wala tusinyimane .......................
.....Express Yourself!!!!!!!
 
nakupa tuzo ya kuomba ushauri wa mapenzi japo kwa stori za kutunga
 
Dah yaaani my wife wangu anavyoibana simu yangu hahahaahaahah sijui hayo ma sms ya malavidave yangepitia wapi. Kwangu na kama niko Gwantenamo vile kha

Kwani haukuiwekea password
 
wewe mwenyewe Playboy.... umewezaje kutoa ushauri mzuri hivi? pili story za galadudu zisikuumize sana kichwa... huyu ni director wa movie.. anakupa scene tu

Mara hii tayari nishapewa u director wa movie jamani
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo tokea ulivyokunywa pombe siku hiyo bado ipo kichwani hadi leo??????
 
Back
Top Bottom