Ni pombe gani ya kienyeji unaikubali kupita zote?

kina ile pombe ambayo Wanyanbala wanaita Kyindi, na Wazungu walipoionja wakauliza hii inaitwaje? Malafyale akawaambie inaitwa Kyindi na Wazungu wakatohoa wakaita KIND.
 
Nawashauri nyote tafuteni habari ya pombe moja inaitwa Ulaka. Pombe hii inapatikana mikoa ya kusini na inatokana na Mabibo (matunda ya mti wa mkorosho) ni rahisi kutengeneza na ni rafiki wa mazingira. Kwani huwa haipikwi bali huanikwa juani baada ya kukamuliwa. Na haikopeshi iingiapo kichwani. Ulaka ni nambari moja nasema.
 
10 bora ya Pombe nzuri za asili:
1. KOMONI
2.ULANZI angalizo:Uupate ule MKANGAFU au MDINDIFU (sio MTOGWA)
3.KIMPUMU
4.MCHUJO
5.MBEGE
6.KYINDI
7.WANZUKI
8.KIJOTI
9.GONGO (ya mbeya)
10.GONGO (ya bukoba )
 
Nawashauri nyote tafuteni habari ya pombe moja inaitwa Ulaka. Pombe hii inapatikana mikoa ya kusini na inatokana na Mabibo (matunda ya mti wa mkorosho) ni rahisi kutengeneza na ni rafiki wa mazingira. Kwani huwa haipikwi bali huanikwa juani baada ya kukamuliwa. Na haikopeshi iingiapo kichwani. Ulaka ni nambari moja nasema.
Hii nayo imetulia nimewahi ionja!!
 
jamani ninyi watu mbege mmeiacha wapi??? Hakuna mfano wa pombe safi ya kienyeji kama mbege,,,,nenda moshi au njoo arusha uulize.. Kila siku toyota stout za kina mzee massawe na uriyo zinatoka uko kibosho, oldmoshi na machame kuleta mbege arusha

mbege siyo pombe, uwe na adabu kwa wachaga
 
pingu ni noma.
hta kama hukwendfa haja kubwa kwa wiki nzima, ukinywa tu utatoa kitu laiinii.
 
chonde chonde mliozoea za kizungu, huku msivamie, kuna nyingine ni tamu kinoma, utajikuta unakunywa tu, halafu huwezi kujua kama umelewa mpaka ujinyee kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom