Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Wadau leo ni siku ya 3 mfululizo kila inapofika mida kama tisa ya usiku, katika dirisha ninalolala huwa anakuja paka na kuanza kulia kwa milio ya ajabu sana, sauti huwa anaibadilisha badilisha, inakuwa kama ya mtu mzima mara kama ya mtoto na ya ajabu,.
Kuna jamaa 1 nimemuuliza akaniambia huyo si paka ni jini...wadau eti kuna ukweli wowote? Na nichukue hatua gani
Kuna jamaa 1 nimemuuliza akaniambia huyo si paka ni jini...wadau eti kuna ukweli wowote? Na nichukue hatua gani